Corona: Tusidanganyane hatuko sawa sote mbele ya ugonjwa huu

Corona: Tusidanganyane hatuko sawa sote mbele ya ugonjwa huu

We jamaa inaonekana unapenda sana story za CORONA unakaa unawashwa washwa kuhusu CORONA. Huwa nahisi huangalii BBC wala CNN, ungeona wazungu wanavyodondoshwa na COVID ndo ungeelewa wanaosema bongo hakuna Corona wanaweza kuwa sahihi. Tanzania haijaathirika hata kwa %2 ukilinganisha na nchi za wazungu. Watu wanaendelea na maisha yao na very soon hizo barakoa hutaziona.
Wewe kichwa maji hujui hata hiyo 2% yako inaweza kuongezeka kama kelele hazitapigwa watu wachukue hatua za kujilinda?

Wacha ubishi, nawa mikono kwa maji tiririka, vaa barakoa unapokuwa kwenye misongamano ujikinge wewe na waliokuzunguka.
 
W jamaa hvy umeshaona walivyo wahuni ndugu zako wazungu wanavyopigwa chanjo kihuni ety
 
We jamaa inaonekana unapenda sana story za CORONA. Huwa nahisi huangalii BBC wala CNN, ungeona wazungu wanavyodondoshwa na COVID ndo ungeelewa wanaosema bongo hakuna Corona wanaweza kuwa sahihi.

Tanzania haijaathirika hata kwa 2% ukilinganisha na nchi za wazungu. Watu wanaendelea na maisha yao na very soon hizo barakoa hutaziona.

Looks like you are led by foolishness, you don’t know what you are writing
 
watu close na mimi wamekufa this week, Campaign mpya should be JILINDE kwa manufaa ya FAMILIA yako, usingoje Magufuli au Gwajima kasema nini,hawatakuwepo kulea familia yako utakapokufa za kuambiwa changanya na zako.
Ata mm saiz ndio nmeamin nilivyoona watu karbu yang wanavyotutoka....Allah atulinde na ili gonjwa
 
Hata %2 ni nyingi nadhani ni %0.0002 au chini ya hapo, barakoa kwa Dar inatafutwa kwa tochi.

Dar ya wapi hii unayoiongelea iongelea mjomba? Ni Dar hii hii tunayo iongelea wengine:


Au huko Chatto mna nyingine?

Huko Lumumba huwa wanawafanya nini, wapi?
 
watu close na mimi wamekufa this week, Campaign mpya should be JILINDE kwa manufaa ya FAMILIA yako, usingoje Magufuli au Gwajima kasema nini,hawatakuwepo kulea familia yako utakapokufa za kuambiwa changanya na zako.
Hata mimi kuna Mzee, family friend anefariki jana kwa huu ugonjwa. Shemeji yangu alilazwa Siku 6 Hindu Mandal kwa huu ugonjwa. Sasa Hawa watu wanadai kuwa hakuna Corona sijui wanaishi nchi gani tofauti na Tanzania.

Nimemshangaa Waziri wa Afya na Naibu wake kufagikia dawa zisizokuwa verified kama kweli zinatibu huu ugonjwa. Hawa wawili ni madaktari. They should know better. Huo mchanganyiko wa hayo makorokoro ni remedy it is not a medicine na huo mvuke wa kujifukiza haujathibitishwa popote kuwa unasaidia. Sasa kujitokeza hadharani na kufagikia vitu ambayo scientifically havijawa proven ni kuwadanganya au kuwa mislead wananchi.

Mbaya zaidi ni kite do cha Katibu Mkuu wa Afya ambaye ni Professor na ni Daktari kukanusha kuwa hakuna Corona wakati watu wanaugua na kufa kwa Corona. That's pathetic.
 
Back
Top Bottom