Corona: Uchumi wa Rwanda taabani kufuatia " lockdown".

Corona: Uchumi wa Rwanda taabani kufuatia " lockdown".

Africa chumi zake zote ni kaanga tule, hamna reserve ya kuwalisha hata wananchi wake milo mitatu kamili kwa siku moja... angalia sana... wao ni viongozi wao kuishi kama malaika pekee na hivi kusema viongozi wa waafrica kote barani ni wakoloni wa wananchi wao. Hamna watumishi wengi wa dhati... angalia tu utaona ... hamna hata kiongozi mmoja huwaza maisha ya watanzania kwa dhati zaidi ya kununua magari na kusihi maisha kama ya walimwengu wa kwanza ili hali wananchi wao ni ulimwengu wa tatu kama siyo wa nne... Ukichukua viongozi wote wa Afrika na maisha wanayoishi ni zaidi ya wanavyoishi wale wa ulimwengu wa kwanza - viongozi wao pamoja na raia wao wa ulimwengu wa kwanza.. Sasa najiuliza ikiwa wanajua kujipa vilivyo vizuri wanashindwaje kuwapa wananchi cake ya taifa zao. Nikakuta ubinafsi, ulaghai, ujinga, na list ni ndefu
 
Ni nchi zimeomba fedha kukabiliana na hili Janga sidhani kama ni Swala la ku-rescue uchumi as you say View attachment 1407471
Kwamba donor country nayo uchumi wake ni dhaifu pamoja na kutokufanya lockdown mpk inakopa?hahah

2015 tuliambiwa mabeberu yatakuja kutupigia magoti yakiomba tuyakopeshe lkn naona mpk leo tunakopa tu.
 
Dona kantrii wanapambana na Corona wakitumia mwili wa yesu na sala misikitini. Kwahivyo wao hawahitaji kabisa kutumia 'hela zao za ndani'. Tena viwonder vyao salon, vinyozi na vyerehani vina nguvu ya kustahimili mapigo ya kiuchumi ya ugonjwa wa Corona. Maanake kina dada bado wanahitaji kusukwa 'wivu', ndevu bado zinafugwa na nguo zinachanika. Only in Afrikaah!
 
Dona kantrii wanapambana na Corona wakitumia mwili wa yesu na sala misikitini. Kwahivyo wao hawahitaji kabisa kutumia 'hela zao za ndani'. Tena viwonder vyao salon, vinyozi na vyerehani vina nguvu ya kustahimili mapigo ya kiuchumi ya ugonjwa wa Corona. Maanake kina dada bado wanahitaji kusukwa 'wivu', ndevu bado zinafugwa na nguo zinachanika. Only in Afrikaah!
Leo wamifika ngapi huko Jirani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole yao sana...

Nchi za Africa nyingi kabla hata ya Covid19 chumi zetu zilikwisha kua taabani...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom