Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

maana Kuna watu humu bora umseme vibaya muumba kuliko kumsema mzungu [emoji3][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40]
Mwenyezimungu hamfichi mnafiki mwaka wao huu kwa wale wenye akili tu ndio wataelewa wazungu ni watu gani Ila kwa wale walishakuwa watumwa wa wazungu toka tumboni wataona kawaida tu maana Kuna watu humu bora umseme vibaya muumba kuliko kumsema mzungu [emoji3][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu na jiandae maana kaa hii post yako yamakavu live lazma wakuchane waone umewatukania mabwana zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Root
Missile of the Nation

Sent using My COVID-19
 
Kuna uwezekano baada ya Corona kuisha EU na NATO zitakuwa na hali mbaya itakayopelekea utengano
Ikitokea hizo jumuiya kufa ntafurahika sana asee maana hazina zaidi ya uonevu tu shenzi zao kabisa

Sent using My COVID-19
 
Mwenyezimungu hamfichi mnafiki mwaka wao huu kwa wale wenye akili tu ndio wataelewa wazungu ni watu gani Ila kwa wale walishakuwa watumwa wa wazungu toka tumboni wataona kawaida tu maana Kuna watu humu bora umseme vibaya muumba kuliko kumsema mzungu [emoji3][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo wazungu mkuu hivi ndivyo hali itakuwa pale tatizo linapoisumbu dunia au kama baaa LA njaa litokee nchini kwetu ukiona chakula kinapiti nje kwako lazima ukivamie kama umeenda mbugani ndyo utajua nn namaanisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom