Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

We Kasinde hebu futa jina la mtumishi wangu hapo...hehehe


Eeehehehehehee mambo Msafiri, mzima weyeee!!?? Umejikarantini wapi?

Nataka nije ulipo ili tulifute jina la mtumishi pamoja bila kukosea....eehehehee.
 
Mkuu shida ni kusoma au kuwa na kitabu on my hand?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni "plagiarism"..huwezitumia one's findings as your own.atleast ungemuappreciate huyo alieleta picha hizo kwa watu.Wew unasema unacho hapo hatuna tatizo,tatizo ni kutumia picha za watu huku ukijimwambafai kuwa umetafuta na umepata.hata sisi bado tunatafuta na kwakutumia hizo picha bas tufanye kila mtu anacho kitabu(soft copy[emoji1787][emoji1787])..mkuu issue ni kwamba weka notes tofauti na hizo zilisombaa ili tujue kweli unacho kama ulivyojieleza.

NB.Hatuna sgida kama unacho au huna,ila kwakuwa ushasema unacho tuoneshe ili kuweka uzito kwa hiki ulichokileta jukwaani.
 
Kean shida kushika kitabu au shida kusoma? Mbona watanzania ni waajabu? Nliwaambia ninacho kitabu mkononi? Nimewaamboa nimesoma bila kujal nimesoma wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpwa nikwambie kitu, mi nishakitafuta sana hicho kitabu kitambo nikakikosa, sa kama we unacho fanya tu kukiweka hapa ntashukuru sana nikikipata kwa urahisi hivyo.
 
Hebu angalieni hii video
 

Attachments

  • VID-20200414-WA0000.mp4
    8 MB
Bro unafahamu maana ya Kubashiri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…