game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee leo kweli naona umepata akili mpya kabisaHapa kwetu wabunge wako Dodoma wanafakamia posho bila soni!
Na Jiwe vipi kakata salary yake?
Rais pekee. Ha ha ha, mbona umewasahau akina Trump?
Acha wivu.
Mbona jamaa enu alisema hela tunayo ya kula miezi sita bila serikali kukusanya kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kaniambia?Umeambiwa East Africa
In God we Trust
Kenyatta yupo smart sana..Siku ya leo Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua kuu muhimu za kijamii na kiuchumi za kuwanusuru raia wa Kenya kutokana na madhara yatakayotokana na hatua za kudhibiti athari za kuenea kwa maambukizi ya Corona nchini Kenya.
Pamoja na ukosoaji mwingi uliokuwepo na uliopo kutoka kwa wakenya wengi kuhusu kuchelewa au kuzembea kwa serikali ya Kenyatta kuchukua hatua katika kukabiliana na athari za maambukizi ya Corona, lakini hili la leo lililofanywa na Rais Uhuru Kenyatta litabakia kuwa kumbukumbu nzuri ya kudumu katika ukanda wa Afrika mashariki, Maziwa makuu, kusini mwa jangwa la Afrika, Afrika au Dunia kiujumla.
Kwa uchache hizi ndio hatua ambazo Uhuru Kenyatta amezitangaza leo....
-Mshahara wa chini ya shilingi Laki tano za kitanzania hautakatwa kodi kabisa.
-PAYE Kupunguzwa kwa 5% (kutoka 30% mpaka 25%)
-Corporation tax kupunguzwa kwa 5%
-Turnover tax kupunguzwa kwa 2%
-Jamii isiyojiweza imetengewa zaidi ya bilioni 200 za kitanzania.
-Kusitishwa kwa muda riba katika mikopo ya biashara zitakazo dumaa au kufirisika katika kipindi hichi cha mlipuko wa Corona.
-VAT Kupunguzwa kwa 2% (Kutoka 16% mpaka 14%)
-Kuidhinisha mara moja zaidi ya shilingi bilioni 20 za kitanzania kutoka mfuko wa Afya kwenda kupambana na Corona.
-Kupunguza mishahara ya maafisa wa juu wa serikali kwa karibu 80%.
-Watumishi wenye umri mkubwa au wenye afya dhaifu kupewa likizo huku wakiendelea kula mshahara kama kawaida wakiwa majumbani mwao.
Kwa kujipanga huko anaweza kuizuia corona isienee nchi mwake? Kwa akili yako unadhani amejipanga zaidi ya China, Italy, USA na Spain ambao wanaongoza kwa madhara ya corona?Siku ya leo Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua kuu muhimu za kijamii na kiuchumi za kuwanusuru raia wa Kenya kutokana na madhara yatakayotokana na hatua za kudhibiti athari za kuenea kwa maambukizi ya Corona nchini Kenya.
Pamoja na ukosoaji mwingi uliokuwepo na uliopo kutoka kwa wakenya wengi kuhusu kuchelewa au kuzembea kwa serikali ya Kenyatta kuchukua hatua katika kukabiliana na athari za maambukizi ya Corona, lakini hili la leo lililofanywa na Rais Uhuru Kenyatta litabakia kuwa kumbukumbu nzuri ya kudumu katika ukanda wa Afrika mashariki, Maziwa makuu, kusini mwa jangwa la Afrika, Afrika au Dunia kiujumla.
Kwa uchache hizi ndio hatua ambazo Uhuru Kenyatta amezitangaza leo....
-Mshahara wa chini ya shilingi Laki tano za kitanzania hautakatwa kodi kabisa.
-PAYE Kupunguzwa kwa 5% (kutoka 30% mpaka 25%)
-Corporation tax kupunguzwa kwa 5%
-Turnover tax kupunguzwa kwa 2%
-Jamii isiyojiweza imetengewa zaidi ya bilioni 200 za kitanzania.
-Kusitishwa kwa muda riba katika mikopo ya biashara zitakazo dumaa au kufirisika katika kipindi hichi cha mlipuko wa Corona.
-VAT Kupunguzwa kwa 2% (Kutoka 16% mpaka 14%)
-Kuidhinisha mara moja zaidi ya shilingi bilioni 20 za kitanzania kutoka mfuko wa Afya kwenda kupambana na Corona.
-Kupunguza mishahara ya maafisa wa juu wa serikali kwa karibu 80%.
-Watumishi wenye umri mkubwa au wenye afya dhaifu kupewa likizo huku wakiendelea kula mshahara kama kawaida wakiwa majumbani mwao.
.................Huyu mwamba ni mtu!anajitambua sana.Jamaaa yuko smart sana kwenye mambo ya msingi
Hapo kwenye kukata mishahara huku ukipunguza PAYE ndo kuna chenga.
Kupunguza riba na taxes anafaidisha wafanyabiashara akiwemo yeye.
Vipi waliokuwa kwenye mashamba ya maua, chai n.k na sasa wako nyumbani wanafaidikaje?
Acha wivu.
Siku ya leo Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua kuu muhimu za kijamii na kiuchumi za kuwanusuru raia wa Kenya kutokana na madhara yatakayotokana na hatua za kudhibiti athari za kuenea kwa maambukizi ya Corona nchini Kenya.
Pamoja na ukosoaji mwingi uliokuwepo na uliopo kutoka kwa wakenya wengi kuhusu kuchelewa au kuzembea kwa serikali ya Kenyatta kuchukua hatua katika kukabiliana na athari za maambukizi ya Corona, lakini hili la leo lililofanywa na Rais Uhuru Kenyatta litabakia kuwa kumbukumbu nzuri ya kudumu katika ukanda wa Afrika mashariki, Maziwa makuu, kusini mwa jangwa la Afrika, Afrika au Dunia kiujumla.
Kwa uchache hizi ndio hatua ambazo Uhuru Kenyatta amezitangaza leo....
-Mshahara wa chini ya shilingi Laki tano za kitanzania hautakatwa kodi kabisa.
-PAYE Kupunguzwa kwa 5% (kutoka 30% mpaka 25%)
-Corporation tax kupunguzwa kwa 5%
-Turnover tax kupunguzwa kwa 2%
-Jamii isiyojiweza imetengewa zaidi ya bilioni 200 za kitanzania.
-Kusitishwa kwa muda riba katika mikopo ya biashara zitakazo dumaa au kufirisika katika kipindi hichi cha mlipuko wa Corona.
-VAT Kupunguzwa kwa 2% (Kutoka 16% mpaka 14%)
-Kuidhinisha mara moja zaidi ya shilingi bilioni 20 za kitanzania kutoka mfuko wa Afya kwenda kupambana na Corona.
-Kupunguza mishahara ya maafisa wa juu wa serikali kwa karibu 80%.
-Watumishi wenye umri mkubwa au wenye afya dhaifu kupewa likizo huku wakiendelea kula mshahara kama kawaida wakiwa majumbani mwao.
Sisi bado tunapambana na upinzani corona haituhusu.
Nani hununua bidhaa kwa wenye shamba na wamama wa soko? Watu wanaopata mshahara. Wakibaki na kazi na wapate nafuu kutoka serikali wataenda kutumia pesa hizo kununua vitu kwa wale wanabiashara. This is called trickle down effect.Hapo kwenye kukata mishahara huku ukipunguza PAYE ndo kuna chenga.
Kupunguza riba na taxes anafaidisha wafanyabiashara akiwemo yeye.
Vipi waliokuwa kwenye mashamba ya maua, chai n.k na sasa wako nyumbani wanafaidikaje?