- Thread starter
- #21
Prof. Kabudi alitamka Tanzania haiwezi zuia wasafiri toka china kuja moja kwa nchini, wala hakuna haja ya kuwaweka hata quarantine kwa kuwa wachina walikuwa trafiki zetu.
Waziri Kabudi unakumbuka hayo na mengi uliyotamka kwa kibri wakati tulipokuwa na nafasi ya kuudhibiti ugonjwa huu nje ya nchi?
Waziri Kabudi unakumbuka hayo na mengi uliyotamka kwa kibri wakati tulipokuwa na nafasi ya kuudhibiti ugonjwa huu nje ya nchi?