Corona virus: Tunajifunza nini toka kwa wengine?

Prof. Kabudi alitamka Tanzania haiwezi zuia wasafiri toka china kuja moja kwa nchini, wala hakuna haja ya kuwaweka hata quarantine kwa kuwa wachina walikuwa trafiki zetu.

Waziri Kabudi unakumbuka hayo na mengi uliyotamka kwa kibri wakati tulipokuwa na nafasi ya kuudhibiti ugonjwa huu nje ya nchi?
 
Hapo pana balozi wa China na kule Majaliwa Qassim. Huku kuna mask kule ni kaupepo tu. Tunayo safari ndefu:



Ajuaye mola kuwa siku moja kweli tutajajifunza:

x
 

Mkuu vipi bandiko lako hili lilikuwa na maana yoyote?

Labda ungejipanga kulifuta tu mkuu?
 

"Waziri Kabudi bado yuko ofisini hajawahipita wala kuwajibishwa." Thinking aloud.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…