baracuda
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,266
- 1,350
Tatizo ni kuwa hatujaambiwa wala kuonyeshwa vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kutibu waathirika.. na je mtu akihisi kuwa na dalili afanye nini? aende hospitali au atoe taarifa afuatwe alipo?na vipi kuhusu wale raia wanaopanda daladala? Utaratibu ukoje kuhusu kutogusana? Na vipi kuhusu mask za kukinga pua, zinapatikana wapi? Maelezo ya kina ni muhimu sana... walau kenya.wao wameshaandaa vituo ya kuwatibu wale watakaoathirika..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app