SIna ushahidiWeka ushahidi!
Rwanda wameweka mpaka sanitizers mtaani badhi ya sehemu.Tatizo ni kuwa hatujaambiwa wala kuonyeshwa vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kutibu waathirika.. na je mtu akihisi kuwa na dalili afanye nini? aende hospitali au atoe taarifa afuatwe alipo?na vipi kuhusu wale raia wanaopanda daladala? Utaratibu ukoje kuhusu kutogusana? Na vipi kuhusu mask za kukinga pua, zinapatikana wapi? Maelezo ya kina ni muhimu sana... walau kenya.wao wameshaandaa vituo ya kuwatibu wale watakaoathirika..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hata ngozi nyeusi inaua?HApana.
Sio kweli.
Huu virus vya Corona vinakufa kwenye joto
NdioKwahiyo hata ngozi nyeusi inaua?
Mkuu
Mungu ni nani?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Katika halakati zangu nimezunguka viwanja vya ndege vitatu vinavyopokea sana wageni toka nje, hali niliyoikuta Mungu atusaidie.
In short, kinachosemwa na viongozi na yanayotendeka huko ni mbingu na ardhi. Nimeshuhudia raia zaidi ya 200 kutoka Uchina wakipita airport bila kupimwa wala kukaguliwa kama tunavyoaminishwa.
Kitu pekee wanachoangalia kama amevaa mask basi. Ujumbe wangu kwa wahusika Tanzania haitawasamehe kwa huu ujinga mnaofanya.
Bado nafanya uchunguzi kama kweli tuna vifaa vya kutosha kupima huu ugonjwa mipakani. Ila nasema siku ugonjwa huu ukifika Tz ndipo tutajua tuna watu wenye dhamana hovyo kiasi gani na itakuwa muda umeisha. Ni suala la muda tu.
Kama watu wanaingia nchini na hawapimwi unategemea miujiza ama na wametoka kwenye zone ambazo zina waathirika ....nunua sanitizer zako na mask epuka direct contact acha ubishi mkuu.....Sasa umejuaje kama ipo wakati inachelewa kuonyesha hivyo viashiria...?
Kuna case yeyote iliyorepotiwa kuonyesha huo uwepo wake hapo Tanzania?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Katika harakati zangu nimezunguka viwanja vya ndege vitatu vinavyopokea sana wageni toka nje, hali niliyoikuta Mungu atusaidie.
In short, kinachosemwa na viongozi na yanayotendeka huko ni mbingu na ardhi. Nimeshuhudia raia zaidi ya 200 kutoka Uchina wakipita airport bila kupimwa wala kukaguliwa kama tunavyoaminishwa.
Kitu pekee wanachoangalia kama amevaa mask basi. Ujumbe wangu kwa wahusika Tanzania haitawasamehe kwa huu ujinga mnaofanya.
Bado nafanya uchunguzi kama kweli tuna vifaa vya kutosha kupima huu ugonjwa mipakani. Ila nasema siku ugonjwa huu ukifika Tz ndipo tutajua tuna watu wenye dhamana hovyo kiasi gani na itakuwa muda umeisha. Ni suala la muda tu.
Mkuu, MPUUZI sio tusi, ni cheo, ni kama vile DIWANI, MWENYEKITI, MKURUGENZI n.k.Mkuu
Huwezi kutoa hoja zako bila Matusi?
Nina mwaka wa 12 hapa jukwaani bila kupewa BAN,
chonde chonde usitafutie matatizo.
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu, MPUUZI sio tusi, ni cheo, ni kama vile DIWANI, MWENYEKITI, MKURUGENZI n.k.
Jina mbadala la mpuuzi ni MJINGA. Na mara zote MJINGA hukasirika anapoitwa MJINGA.
Kuliko kuanza kulia lia kwamba umetukanwa ni bora ungethibitisha kuwa wewe sio MPUUZI/MJINGA.(natanguliza samahani)
Nasikia ngozi nyeusi inadunda
Hivi Nyie wenzangu huwa mnadhani serikali za kiafrica zinafanya kazi ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini Mungu atauruhusu uingie ili iwe kipimo cha Utovu wa nidhamu kwa kushindwa kuzingatia hatua za tahadhari.Tanzania kama Ethiopia..yaani wanathamini pesa kuliko watu wake..huu ugonjwa unaweza kutuvamia Mungu apishe mbali sana.
jana nimeangalia mjadala ITV juu ya Corona kuna daktari mmoja alikuwa anaongea kama mwanasiasa tu niliogopa sana kuona hata madaktari ambao ndiyo tunawaita wasomi.
Lakini anaongea kama mwanasiasa kwenye mambo ya msingi niliumia sana, baada ya kuogea uhalisia wa tatizo yeye anaongea yaleyale ya boss wake Ummy Mwalimu kuwa tumejiandaa vya kutosha.
Nchi kama Marekani ambayo tuliiamini mwanzoni kuwa ndiyo mwamba na suluhu ya mambo magumu kama haya leo inalia leo daktari wa TZ anajiamini kuliko waliotutangulia. Nahisi ipo siku ugonjwa huu utatuvamia Mungu apishe mbali sana na kitakacho tuua ni tamaa za viongozi wa kisiasa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijidanganye! Waulize Cameroon na Nigeria!! Tens Cameroon ni weusi haswa!!Nasikia ngozi nyeusi inadunda