joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #41
Tatizo lenu ninyi wakenya ni kudhani kwamba sisi tuna matabaka kama huko kwenu, ninauhakika 80% ya watanzania hapa JF hawana chama chochote cha siasa, wanachangia vile wanavyopenda.Muelewe tu jombaa, sio kupenda kwake.
Tupe link inayoonyesha serikali ya kenya inafanya mass testing ikienda nyumba kwa nyumba,na ilianza lini na mpaka sasa mmepima watu wangapi....Share link tu mkuu lengo na sie tuige mazuri ya kwenu.
Sie tunaficha taarifa ndio maana nilitaka kujua nyie ambao wawazi ebu tupe link ya kuonyesha kwamba Kenya wanafanya mass testing nyumba kwa nyumba,just share link tu mkuu.Nyie juzi CDC walitoa ripoti yaani tangu janga liingie mumefaulu kupima 652 pekee na kupata 480, hehehe nyie watu mnaishi dunia yenu.
Sie tunaficha taarifa ndio maana nilitaka kujua nyie ambao wawazi ebu tupe link ya kuonyesha kwamba Kenya wanafanya mass testing nyumba kwa nyumba,just share link tu mkuu.
HAahahahha, jamaa amepata nguvu tena baada ya kuugua na presha ya majonzi, tena bado hajajifunza lolote, amerudi na kidomo domo hahahhahahahahaha huyu jamaanadhani ana ka wazimu flaniUmerudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natumai serikali ya jiwe ikitoa takwimu utaingia mafichoni tena[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huku kwenyu vipi naskia wananchi hawana Corona ni mbuzi na paipai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ikitafta waafrica wenye low IQ watafte Tanzania wakianza na rais wao jiwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli hawa watu wanaficha sana takwimu, nasikia kwa siku kule Mombasa wanazikwa si chini ya watu 70,hawa watu huu ugonjwa utawamaliza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sie tunaficha taarifa ndio maana nilitaka kujua nyie ambao wawazi ebu tupe link ya kuonyesha kwamba Kenya wanafanya mass testing nyumba kwa nyumba,just share link tu mkuu.
Welcome back Boy nilikuwa nashangaa vipi hakuna ujinga siku hizi kumbe ni wewe haupo 😉
Kifo cha mtoto wa Kerecho Breweries kilichotokea huko Lamu hivi majuzi kinatokana na Ugonjwa wa Corona na sio ajali kama ambavyo Serikali ya Kenya inajaribu kuficha
Vifo vitokanavyo na Corona vimeongezeka sana nchini Kenya na vingi hutokea nyumbani kwasababu wagonjwa wengi hasa kutoka Mombasa na eneo zima la pwani wamegoma kwenda Hospitalini kutokana na huduma duni na kunyanyapaliwa na wahudumu wa Afya.
Wakati Kenya ikitoa kipaumbele katika upimaji bila ya kuchukua hatua thabiti za kuzuia maambukizi yasizidi kuenea, wakenya na dunia inajiuliza kama kweli Serikali ya Kenya inajua nini inachotaka kukipata katika mapambano ya Corona, kwa sababu bado idadi ya wagonjwa na vifo vinazidi kuongezeka kwa kasi.
Wewe basi huifahamu nchi yako. Tanzania iliacha mambo ya ujamaa Nyerere alipokufa na kuwa capitalist. Huwezi badilisha historia.Wapii, sisi hatuwezi kuwa Capitalists hata siku moja, ni sawa na kusema China, Cuba, Russia ni capitalist countries. Tanzania ni waanzilishi wa "African Socialism known as Ujamaa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulitusi watu? Mbona mimi huwa natusi na sipewi ban? Sidhani kama ulipewa ban. Nadhani ulitoroka kwa aibu uliojiletea kwa maringo kwamba TZ mpo sawa. Ila sote tunaona kuwa TZ inaumia kwa uzito wa coronaJamaa walinipiga "ban" kwasababu nilizidisha "attacks" kwa wakenya, sasa hivi kidogo sitowashambulia sana, ila muwe na adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikuambia huyo jamaa alikufa na Korona? Uzushi!Mbona sisi hatujakataa, tunakufa maana lipo na ipo, Corona ipo na hatujafukia vichwa vyetu ardhini kama mnavyofanya kwenu hadi tunaona mawaziri na wabunge wakijifia, bora wao wanatolewa taarifa, watu wa mitaani yenu inaishia kuzikwa tu....
Ona mtaani kulivyoo
Mbona alipotekwa moh serikali ilienda mbio, lkn wale makapuku walibaki kusema wanajiteka[emoji1787][emoji1787]Hilo ndio tatizo la "Capitalism + Corruption = man eat man society". Hakuna haki wala usawa kwa masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakwambia ile siku jiwe atatoa data atasepa tena ili kuepuka aibu...Naona jamaa wa "Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kuzuia maambukizi na kuenea kwa Corona" amerejea baada ya kuzamia mafichoni kwa aibu nyingi. [emoji1] Mbona DCI wanafatilia postmortem ya mwili wa marehemu na kwanini postmortem inafanywa. Directorate of Criminal Investigations wanachunguza nini kuhusu kifo cha Tecra Muigai kama tayari wanajua kwamba ni Corona kama unavodai? What killed Keroche Breweries heiress? : The Standard
Umeshaona wapi nchi ya kibepari ambapo Serikali ndio inayomiliki ardhi yote, Afya na Elimu ni bure, na Serikali ndio " the biggest employer"?Wewe basi huifahamu nchi yako. Tanzania iliacha mambo ya ujamaa Nyerere alipokufa na kuwa capitalist. Huwezi badilisha historia.
Tumpe masiku tu, wajua madomo kaya huaga huumbuka vibaya sana..HAahahahha, jamaa amepata nguvu tena baada ya kuugua na presha ya majonzi, tena bado hajajifunza lolote, amerudi na kidomo domo hahahhahahahahaha huyu jamaanadhani ana ka wazimu flani
Kwhyo leo ndio umekubali km watanzania hawamiliki ardhi ila wanakodi kutoka kw serikali sio[emoji122][emoji122]Umeshaona wapi nchi ya kibepari ambapo Serikali ndio inayomiliki ardhi yote, Afya na Elimu ni bure, na Serikali ndio " the biggest employer"?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu Mo hakutekwa na Serikali, ila hao wengine walichukuliwa na kuhifadhiwa na Serikali, sasa ulitaka Serikali itafute watu ambao inajua walipo?Mbona alipotekwa moh serikali ilienda mbio, lkn wale makapuku walibaki kusema wanajiteka[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unauliza swali au unajibu swali?. Ardhi yote ya Tanzania inamilikiwa na watanzania wote kwa pamoja chini wa uangalizi wa Serikali.Kwhyo leo ndio umekubali km watanzania hawamiliki ardhi ila wanakodi kutoka kw serikali sio[emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app