Tanzania uchaguzi haubadilishi lolote, sisi sio wakabila, tatizo Kenya ni ukabila ndio sababu ukifika mwaka wa uchaguzi kila kitu kinasimama
https://www.facebook.com/
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatupo kwenye mwka wa uchaguzi, hatuna sababu zozote za kuficha Corona, sasa hivi tunafanya mass testing an kuwafuata watu mpaka nyumbani kwao, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, sasa uniambie watu wanaofanya shughuli kama hii watakua na sababu zipi za kuficha.
Nyie hapo sampuli zenu lazima zitumwe Dar kisha usubiri siku nyingi na hapo ndio hatari, kabla matokeo kurudi ikoani tayari umezikwa.
Sasa hivi naona hata wabunge wameikimbia bunge na Makonda amesema atawakamata kama machangudoa, hehehe hiyo nchi yenu bana, hebu check hii video.
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/05/2390738__CoqjfLhVKKaluf7.mp4
Tangu lini mtu shamba la babake akipewa anapohitaji hati stahiki anapewa mda wa umiliki..Kenya Serikali haina uhusiano na wananchi ndio sababu unashindwa kuelewa. Tanzania Serikali na wananchi ni familia moja, Serikali ni baba na wananchi ni watoto, huwezi kuvitenganisha, Mali ya baba ni Mali ya watoto, na Mali ya watoto ni Mali ya baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mtie bidii mtu overtake uchaguzi unaokuja, manake tangia moi mmejaribi ikashindikanaKenya uchaguzi 2022 ila kampeni zishaanzaga Kitambo, figisu za Kina Ruto Vs Uhuru + Rao,
Kazi mnayo, mnachukulia siasa too emotional ndio maana huwa mnachinjana na kuuana mamia kwa mamia kila uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mtie bidii mtu overtake uchaguzi unaokuja, manake tangia moi mmejaribi ikashindikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hujui sheria ya Tanzania kwenye ardhi. Kwa mtanzania kumiliki ardhi hakuna kitu kinaitwa "leading", ardhi inakuwa ni Mali yako na unaruhusiwa kuiuza au kuifanyia lolote, leasing ni kwa wageni pekee.Tangu lini mtu shamba la babake akipewa anapohitaji hati stahiki anapewa mda wa umiliki..
Babako kweli akuafanyie hvo(leasing) kw wale wanaotaka tittle deeds[emoji1787][emoji1787]
Halafu wajukuu wako wataishi wapi jamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadanganye wengine, tanzania ardhi ya jamii tu ndio pekeake haina leasing lkn na wewe kamwe huwezi kuwa na tittle deed kw sababu serikali inaheaabu hyo ardhi ni ya jamii km ilivyokuwa hku kenya...Hahahaha, hujui sheria ya Tanzania kwenye ardhi. Kwa mtanzania kumiliki ardhi hakuna kitu kinaitwa "leading", ardhi inakuwa ni Mali yako na unaruhusiwa kuiuza au kuifanyia lolote, leasing ni kwa wageni pekee.
Tofauti ni kwamba, endapo hiyo ardhi unayoimiliki Serikali ikiwa inahitaji kwa ajili ya maendeleo ya taifa, basi unapaswa kulipwa kwa mujibu wa bei ya soko kwa wakati huo, sio kwa mujibu unavyotaka wewe kwa sababu ni ardhi yako, kama mbavyofanya huko Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania sio Kenya, ndio sababu hatuna "land grabbers", kila mtu anapata ardhi kwa kadri ya mahitaji yake. Kuna tume ya Kenya kuhusu ardhi, ilishauri Kenya kuiga sheria za Tanzania kuhusu umilikaji wa ardhi. Sisi tupo vizuri sana katika eneo hilo.Kadanganye wengine, tanzania ardhi ya jamii tu ndio pekeake haina leasing lkn na wewe kamwe huwezi kuwa na tittle deed kw sababu serikali inaheaabu hyo ardhi ni ya jamii km ilivyokuwa hku kenya...
Ngoma iko pale unapotaka tittle deed[emoji1787][emoji1787][emoji848]
Serikali wanakukodishia tu na wla huna budi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hko hko tanzania kuna watu waliojimilikisha ardhi..yani kuhusu mambo ya ardhi bongo huwezi nifundisha kabisa..Tanzania sio Kenya, ndio sababu hatuna "land grabbers", kila mtu anapata ardhi kwa kadri ya mahitaji yake. Kuna tume ya Kenya kuhusu ardhi, ilishauri Kenya kuiga sheria za Tanzania kuhusu umilikaji wa ardhi. Sisi tupo vizuri sana katika eneo hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadanganye wengine, tanzania ardhi ya jamii tu ndio pekeake haina leasing lkn na wewe kamwe huwezi kuwa na tittle deed kw sababu serikali inaheaabu hyo ardhi ni ya jamii km ilivyokuwa hku kenya...
Ngoma iko pale unapotaka tittle deed[emoji1787][emoji1787][emoji848]
Serikali wanakukodishia tu na wla huna budi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui lolote kuhusu sheria na Sera ya ardhi za Tanzania. Tunasheria nzuri kuliko nchi zote AfrikaHata hko hko tanzania kuna watu waliojimilikisha ardhi..yani kuhusu mambo ya ardhi bongo huwezi nifundisha kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria za kukaliwa ama gani?? Kama shamba ni lako, hufai kuzuiwa na mtu yeyote kuliuza ama kulifainyia chochote unacho takaHujui lolote kuhusu sheria na Sera ya ardhi za Tanzania. Tunasheria nzuri kuliko nchi zote Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!njoo kivingine buda, lkn hivi hivi eti unidanganye kweupee..umenoaaHujui lolote kuhusu sheria na Sera ya ardhi za Tanzania. Tunasheria nzuri kuliko nchi zote Afrika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa!!hii ndio mbinu ulifikiria utakuja kunidanganya nayo...Hao wananchi wanalipwa ili kupisha ujenzi wa reli. Ingekuwa hiyo ardhi hawaimiliki, iweje Serikali iwalipe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kishabiki sana aiseeee
Kifo cha mtoto wa Kerecho Breweries kilichotokea huko Lamu hivi majuzi kinatokana na Ugonjwa wa Corona na sio ajali kama ambavyo Serikali ya Kenya inajaribu kuficha
Vifo vitokanavyo na Corona vimeongezeka sana nchini Kenya na vingi hutokea nyumbani kwasababu wagonjwa wengi hasa kutoka Mombasa na eneo zima la pwani wamegoma kwenda Hospitalini kutokana na huduma duni na kunyanyapaliwa na wahudumu wa Afya.
Wakati Kenya ikitoa kipaumbele katika upimaji bila ya kuchukua hatua thabiti za kuzuia maambukizi yasizidi kuenea, wakenya na dunia inajiuliza kama kweli Serikali ya Kenya inajua nini inachotaka kukipata katika mapambano ya Corona, kwa sababu bado idadi ya wagonjwa na vifo vinazidi kuongezeka kwa kasi.
Sisi lazima tufanye bidii sana ili tusave pesa tununue ardhi. Mimi mwenyewe nipo katika harakati za kutafuta ardhi. Lakini hii lockdown ya Nairobi ndio inaleta changamoto. System yenu ya ardhi kuwa bure ni afadhali.Tanzania sio Kenya, ndio sababu hatuna "land grabbers", kila mtu anapata ardhi kwa kadri ya mahitaji yake. Kuna tume ya Kenya kuhusu ardhi, ilishauri Kenya kuiga sheria za Tanzania kuhusu umilikaji wa ardhi. Sisi tupo vizuri sana katika eneo hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amesema Tanzania ardhi ni bure?. ardhi lazima ununue tokaSisi lazima tufanye bidii sana ili tusave pesa tununue ardhi. Mimi mwenyewe nipo katika harakati za kutafuta ardhi. Lakini hii lockdown ya Nairobi ndio inaleta changamoto. System yenu ya ardhi kuwa bure ni afadhali.
Sasa kama ni hivyo basi hakuna tofauti kati ya TZ na KE. Hata huku Kenya, serikali ikitaka shamba inaichukua na kukulipa fidia kama ilivyofanya wakati wa ujenzi wa SGR.Nani amesema Tanzania ardhi ni bure?. ardhi lazima ununue toka
1)Watu binafsi
2)Serikali za vijiji
3)Serikali kuu
Ila ardhi yote ipo chini ya uangalizi wa Serikali, maslahi ya Taifa zima ndio yanapewa kipaumbele kabla ya maslahi ya mtu binafsi.
Kama kwenye ardhi yako panahitajika kujengwa mradi wa Serikali kwa faida ya walioqengi, utalazimika kukubaliana na Serikali upishe na utalipwa bei yenye kuendana na Soko kwa wakati huo, huwezi kugoma kuondoka, ukilazimisha sana, rais anayomamlaka ya kufuta haki ya umiliki wa hiyo ardhi na kuirudisha serikalini, lakini lazima athibitishe kwamba lengo lake ni kufanikisha maslahi ya waliowengi.
Sent using Jamii Forums mobile app