Corona; wakenya wafanya matambiko ili kufukuza Corona

Corona; wakenya wafanya matambiko ili kufukuza Corona

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Coronavirus: Kenyan, Ugandan villagers bang tins at night to scare away virus
Katika vita, kitu muhimu ni ushindi, silaha yoyote unaweza kutumia.

Wakenya baada ya kuona kwamba mambo yanaendelea kuwa magumu, wameamua kufukuza virusi vya Corona kwa kupiga makelele na kugonganisha sahani za bati usiku kucha ili kutishia Virusi visikaribie katika vijiji vyao.

Uamuzi wa kufanya tambiko nyakati za usiku ni kutokana na ukweli kwamba, wanaamini virusi hutembea kuanzia SAA moja usiku hadi 12 asubuhi, kama walivyoelezwa na serikali ya Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂🤣🤣
Dah! Hivi tuna hoja ipi ya kupinga tusifanyiwe majaribio ya chanjo corona kama mapambano yenyewe siraha sahani😂
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Dah! Hivi tuna hoja ipi ya kupinga tusifanyiwe majaribio ya chanjo corona kama mapambano yenyewe siraha sahani[emoji23]
Silaha ni silaha usiwadharahu, mbona hata kupambana na locust walitumia kupiga kelele na kugonganisha mabati na walifanikiwa?, tofauti ni kidogo tu, locust huruka mchana lakini virusi huruka usiku. Hahahaha, hahahaha, hahahaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafik, utawashangaaje hawa wanakijiji kutoka Kenya na Uganda? Ila kwenye suala la rais wako kusema kwamba ugonjwa wa Corona hauwezi ukanawiri kwenye mwili wa yesu na misikitini unajitia hamnazo?

Afadhali hawa wanakijiji wakenya na waganda ambao hawajamdhuru mtu yeyote yule, ingekuwa ni Tz wangemchinja albino.
 
Unafik, utawashangaaje hawa wanakijiji kutoka Kenya na Uganda? Ila kwenye suala la rais wako kusema kwamba ugonjwa wa Corona huwezi ukanawiri kwenye mwili wa yesu na misikitini unajitia hamnazo? Afadhali hawa wanakijiji wakenya na waganda ambao hawajamdhuru mtu yeyote yule, ingekuwa ni Tz wangemchinja albino.
Mbona tunasikia wanechinja Jaluo wawili, au wamedanganya?. Hakuna aliyewacheka wacha kujishuku, sisi tunawapongeza sana, juhudi zao zinaonekana
Kenya 142, 4deaths
TZ. 22, 1death

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona tunasikia wanechinja Jaluo wawili, au wamedanganya?. Hakuna aliyewacheka wacha kujishuku, sisi tunawapongeza sana, juhudi zao zinaonekana
Kenya 142, 4deaths
TZ. 22, 1death
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam, nilitaka nione kwanza pumba za aina hii ndio nijue kwa uhakika kwamba wewe ni pimbi kweli. Ambaye anaweza akaamini hadithi za kilofa kama hizo ulizolishwa na hao waliobuni hizo taarifa kwenye hiyo site ya umbea.

Kisha wakaziita habari, endelea kuzipa traffic hizo 'gutter press' za Kenya. Ili hao wanahabari feki nao waendelee kuongeza KES za ziada kwenye akaunti zao.
 
Naaam, nilitaka nione kwanza pumba za aina hii ndio nijue kwa uhakika kwamba wewe ni pimbi kweli. Ambaye anaweza akaamini hadithi za kilofa kama hizo ulizolishwa na hao waliobuni hizo taarifa kwenye hiyo site ya umbea. Kisha wakaziita habari, endelea kuzipa traffic hizo 'gutter press' za Kenya. Ili hao wanahabari feki nao waendelee kuongeza KES za ziada kwenye akaunti zao.
Hiyo ni juu yako, kubali au kataa haibadilishi kitu. Endeleeni kufukuza corona kwa kupiga kelele za sahani za bati.
142 vs 22

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maombi na uchawi haiwezi fukuza corona.
Taking precautions ndio ya maana.
 
Back
Top Bottom