nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
MNGEENDELEA KUJIFUNGIA, MNGEKULA JEURI YENUWewe ni akili hauna. Hajui kwanini tulifunga na kwanini tukafungua. Hebu niambie ni kipi Uhuru kaiga kwa Maghufuli? Hakuna kitu hata moja tunaweza iga kutoka huko!
Uliambiwa tulikuwa tunafunga ikae hivyo milele?, Pathetic!..MNGEENDELEA KUJIFUNGIA, MNGEKULA JEURI YENU
Uliambiwa tulikuwa tunafunga ikae hivyo milele? Pathetic!
nenda Aghakhan!Kwasababu CCM wanaamini ugonjwa umepungua ndio sababu hawavai barakoa, ila nyumbu wanaoamini wagonjwa wamefika laki moja walipaswa kuvaa barakoa lakini hawavai.
Kipindi hiki ambacho maambukizi ni makubwa na yanaongezeka kwa kasi mlipaswa kuongeza "restrictions" sio kuanza kulegeza vikwazo, kitendo cha kulegeza vikwazo wakati kasi ya maambukizi ni kubwa ni kumuiga Magufuli ambayo tangu mwanzo alisema kwamba ni lazima kujifunza kuishi na Corona kama tunavyoishi na UKIMWI, ninyi kwa ujinga wenu mkaanza kuweka ,"cessation " of movements Nairobi na Mombasa. Hovyo kabisa ninyi.Wewe ni akili hauna. Hajui kwanini tulifunga na kwanini tukafungua. Hebu niambie ni kipi Uhuru kaiga kwa Maghufuli?.. Hakuna kitu hata moja tunaweza iga kutoka huko!.
Sasa kwanini Mbowe na wenzake hawavai barakoa kama wanaamini ugonjwa bado upo kwa wingi?nenda Aghakhan!
Lockdown inasaidia sana kupunguza na kuondoa maambukizi ya magonjwa yanayoambukizwa kupitia hewa. Hilo tusibishe.
Ila lockdown ya Kenya was bugus. Unaanza 7pm? Ni bora tu uachie.
That was not a lockdown, that was a jokedown.
Sisi tunajielewa sana. Wenye akili finyu kama nyie ndio hamuwezi ng'amua chochote. Nani kakwambia cessation ni kwa ajili ya kumaliza maambukizi?. Hii ilikuwa mbinu ya kudhibiti kasi ya hayo hayo maambukizi kama bado tunajipanga. Saa hii tumefungua kwa masharti fulani baada ya kugundua tushaa jipanga. Halafu hatujafungua shule, kanisa ni kwa masharti, curfew bado etc. Sasa tumemuiga nini Maghufuli?.. hakunaa kabisaa!Kipindi hiki ambacho maambukizi ni makubwa na yanaongezeka kwa kasi mlipaswa kuongeza "restrictions" sio kuanza kulegeza vikwazo, kitendo cha kulegeza vikwazo wakati kasi ya maambukizi ni kubwa ni kumuiga Magufuli ambayo tangu mwanzo alisema kwamba ni lazima kujifunza kuishi na Corona kama tunavyoishi na UKIMWI, ninyi kwa ujinga wenu mkaanza kuweka ,"cessation " of movements Nairobi na Mombasa. Hovyo kabisa ninyi.
Ahsante sana mdanganyika, huku tushajipanga ndio maana tumelegeza lakini kwa masharti fulani!.
Ukifungua uzi kuhusu Tz itabidi uvumilie na sisi tukifungua nyuzi kuhusu KenyaOut of 20 threads kwa Kenyan news and politics 14 Ni za Watanzania...who is obsessed with the other?
WAKO WAPI WAGONJWA WA MAFUA"?Wako wapi wagonjwa wa Covid-19 hapa kwetu Tanzania na hatukufungiwa!
Uko na haki ya maoni yako. Sisi tunamshukuru rais wetu kwa juhudi zake. Endeleeni kujumuika kwa choo cha kiume!🤣🤣Juhudi zimezaa matunda kafyuuu imepeleka korona chini kabisa. Endeleeni kujishoka sasa maana kujipanga kumewaingiza choo cha kike. Hongereni sana.
Ulitamani sana kenya kuwekwe total lockdown ili useme tumewaiga wazungu[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, hamna akili lazima mtaiga Tanzania, sisi hatutegemei wazungu. Tulitegemea muongoze total lockdown kutokana na idadid kubwa ya maambukizi kwa sasa, vipi mnaanza kufanya "Partial opening" wakati maambukizi sasa hivi ni makubwa kuliko kipindi mlichoweka hizi "restrictions". Hamna akili wapumbavu wakubwa ninyi, kila kitu lazima msikilize Mzungu, pumbavu.
Kasi ya maambukizi hko kwenu mliijua ule wakati wa mapapai sio.Kipindi hiki ambacho maambukizi ni makubwa na yanaongezeka kwa kasi mlipaswa kuongeza "restrictions" sio kuanza kulegeza vikwazo, kitendo cha kulegeza vikwazo wakati kasi ya maambukizi ni kubwa ni kumuiga Magufuli ambayo tangu mwanzo alisema kwamba ni lazima kujifunza kuishi na Corona kama tunavyoishi na UKIMWI, ninyi kwa ujinga wenu mkaanza kuweka ,"cessation " of movements Nairobi na Mombasa. Hovyo kabisa ninyi.
Uko na haki ya maoni yako. Sisi tunamshukuru rais wetu kwa juhudi zake. Endeleeni kujumuika kwa choo cha kiume!🤣🤣
Mimi nawapongeza tu. sijatoa maoni yangu. Juhudi za raisi wenyu zimeonekana kafyuu imepunguza na kuondoa korona kabisa. Sasa ni wakati wa kufungua nchi na uchumi.
Pongezi ni maoni pia. Ila hukuelewa maana ya uhusiano wa curfew na korona, sisi wenyewe tumejua faida yake zaidi ya uelewa wako, tuko sawa!..
Nani kakwambia hatukuwa tunachapa kazi? Mkenya sio mtu wa kukumbusha hilo. Huku tunajutuma baba!Sasa mchape kazii, kafyuu imemaliza korona.
Aibu imewakuta kutakana na akili zenu finyu, tukuwaambia ninyi hamna akili mnadhani tunawachukia, soma wakenya wenzako wanavyosema, jinga kabisa wewe.Sisi tunajielewa sana. Wenye akili finyu kama nyie ndio hamuwezi ng'amua chochote. Nani kakwambia cessation ni kwa ajili ya kumaliza maambukizi?. Hii ilikuwa mbinu ya kudhibiti kasi ya hayo hayo maambukizi kama bado tunajipanga. Saa hii tumefungua kwa masharti fulani baada ya kugundua tushaa jipanga. Halafu hatujafungua shule, kanisa ni kwa masharti, curfew bado etc. Sasa tumemuiga nini Maghufuli? Hakunaa kabisaa!
Nani kakwambia hatukuwa tunachapa kazi?. Mkenya sio mtu wa kukumbusha hilo. Huku tunajutuma baba!