Corona: Wakenya walijifungia wakati maambukizi ni chini ya 100, sasa wanafungua maambukizi yakikaribia 10,000, hizi ni akili au matope?

Kenya ni taifa linaloheshimiwa duniani Lina Mambo mengi ambayo ni ya kimataifa kwa standards zake kila kitu kinaratibiwa kwa umakini na vettings za Hali ya juu Kenya sio Kama sisi Mambo yanaenda shaghalabaghala Kenya ina taasisi makini zinazofanywa kwa mtindo wa checks n Ballance sisi tumeamua kuvusha watuwetu kwenye daraja la kitambaa au cobweb atakaevuka hewala Mungu atusaidie (kule Moro Kuna mwl kafia class tar 29/6/2020 siku ya ufunguzi wa shule tz) wabishe.
 
Kwasababu CCM wanaamini ugonjwa umepungua ndio sababu hawavai barakoa, ila nyumbu wanaoamini wagonjwa wamefika laki moja walipaswa kuvaa barakoa lakini hawavai.
Hahahaha this is a comment of the week.
 
Kwasababu hamna akili zenu wenyewe, lazima muige wazungu au Magufuli, sasa mumeamua kumuiga Magufuli baada ya kuona kuwaiga wazungu hakusaidii, next time muanze kuiga Magufuli moja kwa moja msianze na wazungu, hahahaha.
Hahahaha MK254 alipatwa asome comment hii na nyingine nyingi hapa
 
Lockdown inasaidia sana kupunguza na kuondoa maambukizi ya magonjwa yanayoambukizwa kupitia hewa. Hilo tusibishe.
Ila lockdown ya Kenya was bugus. Unaanza 7pm? Ni bora tu uachie.

That was not a lockdown, that was a jokedown.
Nchi gani namba zilipungua kwa lockdown?
 
Halafu huo upumbavu umekuta mkoloni aliondokaga na akili zao.
Wenyewe wanakwambia tatizo unatakiwa ulitatue kisayansi sababu ya tatizo lenyewe la kisayansi hahahaha sayansi na Kenya wapi na wapi kushoto kutupu kama ndala za guest.
 
Wenyewe wanakwambia tatizo unatakiwa ulitatue kisayansi sababu ya tatizo lenyewe la kisayansi hahahaha sayansi na Kenya wapi na wapi kushoto kutupu kama ndala za guest
Hiyo sayansi naona imewaonesha kuwa mchana kote kirusi kinalala halafu kinaamka saa tatu usiku.
 
Hiyo sayansi naona imewaonesha kuwa mchana kote kirusi kinalala halafu kinaamka saa tatu usiku.
Wakenya hawana akili kabisaa Yani kama wakijaribu tu kuwatimua wazungu bc Kenya inakua nchi masini kabisa kuliko sudan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…