Smart rangi na mavazi tu ila akili ni ndogo kama ukubwa wa kichwa chake.Mwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
Huyu jamaa ni panzi sana, angalia anavyojibuMwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
MwanaFA kapanic vibaya sana.Huyu jamaa ni panzi sana, angalia anavyojibuView attachment 1391242
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nilukuwa namuona smart ila sasa hivi ndio nimejua, kumbe jamaa naye kilaza tu.Mwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
Hata mimi nilukuwa namuona smart ila sasa hivi ndio nimejua, kumbe jamaa naye kilaza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Mwana Fatuma. Dah kitambo.Huyu njiti kichwa yake huwa maji nilimtoa thamani toka kile kipindi alipoingia kwenye bif isiyomuhusu na Lady Jaydee
Kapanic mbaya sana [emoji2][emoji2]Mwana FA nilikua namuona smart sana, cheki reply yake alivopanic.
Nagongea msumariTatizo shule. Sio kila mask inazuia corona mask. Wanataka "hype" tu.
Sent using Jamii Forums mobile app