Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wstu wameshaelimika.......maji tiririka!Anapenda kufahamu..Ni kwamba biashara hailipi Tena au kunani. Maana nikikumbuka week moja iliyopiga kila mtu alikua anauza mask na sanitizer sasa sijui na alikua ananunua.
Kuna watu wameweka stock ya kutosha acha wazitumie na familia zao , huwezi kutafuta UTAJIRI wa haraka kwa kupitia majangaAnapenda kufahamu..Ni kwamba biashara hailipi Tena au kunani. Maana nikikumbuka week moja iliyopiga kila mtu alikua anauza mask na sanitizer sasa sijui na alikua ananunua.
Akili mbovu Sana..coz ata Kama una stock ya kutosha duniani huwez ishi peke yako..inapaswa wewe na Jirani yako wote mjikinge ndipo utaweza kuwa salamaKuna watu wameweka stock ya kutosha acha wazitumie na familia zao , huwezi kutafuta UTAJIRI wa haraka kwa kupitia majanga
Hahahaaa!!!Kipindu pindu tu hakijatufuta licha kila mtu Tanzania kila siku anakunywa maji yenye traits za mavi ije korona?
Fak the the virus
Sio kweli...
Kwa wiki moja hii.
Kama corona ingekuwa hatari kwa africa.
Wagonjwa wangekuwa zaidi ya 50 hapa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna kizazi cha ajabu sana hapa Tanzania, hasa yule Mushi wa Dodoma pale Mkuu wa wilaya alipoenda kumuuliza yaani lijamaa linadanganya kabisa waziwazi bila kupepesa badala hata liombe msamaha.Mzigo umekata au, but nasikia watu walikuwa wameshaanza kushona kwa mafundi ...nguo ...hawanunui tena , hata hizo santaizer watu wame google formula ya kutengeneza wanatengeneza wenyewe.....chezea bongo ww..maana wengi waliona ndio fursa ya kutajirikia wakawa wanauza mpk jelly wakiwadanganya watu kuwa ni santaizer
sent from HUAWEI
Wabongo ni noma. Kuna jamaa Mbeya alikamatwa anatengeneza noti ya elfu kumi kama ilivyo tena kaishia la saba, sembuse sanitizer!Mzigo umekata au, but nasikia watu walikuwa wameshaanza kushona kwa mafundi ...nguo ...hawanunui tena , hata hizo santaizer watu wame google formula ya kutengeneza wanatengeneza wenyewe.....chezea bongo ww..maana wengi waliona ndio fursa ya kutajirikia wakawa wanauza mpk jelly wakiwadanganya watu kuwa ni santaizer
sent from HUAWEI
We jamaa mbona hueleweki. Si juzi ulikuwa unalia kuwa hiki kirusi kitatumaliza sote?Kipindu pindu tu hakijatufuta licha kila mtu Tanzania kila siku anakunywa maji yenye traits za mavi ije iwe korona?
Fak the virus!