chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Tuwaonee huruma ndugu zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema na kuomba kwamba Tanzania ingekuwa Italy ya EA, Mungu amewageuzia kibao, wamezidi wivu na roho mbaya, wacha Corona ifanye kazi yakeKenya naona imekuwa wuhan nahisi mk254 atakuwa ameshafarikey baada ya kuwa coronaized
'Dead bodies everywhere': A nation's secret coronavirus crisisWalisema na kuomba kwamba Tanzania ingekuwa Italy ya EA, Mungu amewageuzia kibao, wamezidi wivu na roho mbaya, wacha Corona ifanye kazi yake
Subiri kidogo week mbili tatuAaaa we!!mbna watu wanadunda kitaani, hzo taarifa umezitoa wapi na jamaa hku wanapiga kazi km kawa..
kajinunulie chupi Kwanza!
Umenena vema mkuu wacha tu covid awatafune kadri ya Haja ya moyo wakeWalisema na kuomba kwamba Tanzania ingekuwa Italy ya EA, Mungu amewageuzia kibao, wamezidi wivu na roho mbaya, wacha Corona ifanye kazi yake
Enheee..nambie sasa, ndio nasubiria mida ya kutoka kazi...si uandike pumba nicheke kiasi ndio nipoteze mda
Tumkodishe Magufuli kwa wakenya akawafundishe namna ya kuukabili huu ugonjwa kisomi kiimani na kisayansi kimu.Yafaa curfew na lock-down irudishwe.. huu ugonjwa unahitaji utaalam na tafiti za kisayansi kupambana nao. Tupime kila nyumba kwa nyumba.
Tangu kufunguliwe ni zaidi mara mbili ya hzo wiki zako tatu..Subiri kidogo week mbili tatu
Kulifunguliwa lini? HahahaTangu kufunguliwe ni zaidi mara mbili ya hzo wiki zako tatu..
Waache wafe hao sio watu wazuri, walitusema sana na kutuombea mabaya yatutokee, waliongoza dunia kupiga kampeni dunia itutenge, Mungu ameamua kuwaonyesha kwamba ubaya hulipwa kwa ubaya.Tusifurahishwe na ongezeko la vifo vya wenzetu..
Sisi kuwa hai haimaanishi kwamba ni wanjanja zaidi au labda tuna guarantee ya kuishi,, hapana.
Tuwaombee
Kujitoa ufahamu sio mbayaKulifunguliwa lini? Hahaha
Mbona marufuku ya kutumia vilevi ipo pale pale? Shule na vyuo lini vilifunguliwa? Makanisani je?
[emoji706][emoji706][emoji706]