Corona: WHO yashitushwa na ongezeko la maambukizi na vifo nchini Kenya, yainyooshea kidole GoK kwa utepetevu

Corona: WHO yashitushwa na ongezeko la maambukizi na vifo nchini Kenya, yainyooshea kidole GoK kwa utepetevu

Kenya naona imekuwa wuhan nahisi mk254 atakuwa ameshafarikey baada ya kuwa coronaized
 
Kenya naona imekuwa wuhan nahisi mk254 atakuwa ameshafarikey baada ya kuwa coronaized
Walisema na kuomba kwamba Tanzania ingekuwa Italy ya EA, Mungu amewageuzia kibao, wamezidi wivu na roho mbaya, wacha Corona ifanye kazi yake
 
Siku curfew na lockdown ikirudi Kenya lazima nifanye sherehe MK254 Tony254
komora096 mwaswast
kajinunulie chupi Kwanza!
2484999_FB_IMG_1597297843279.jpg
 
Yafaa curfew na lock-down irudishwe.. huu ugonjwa unahitaji utaalam na tafiti za kisayansi kupambana nao. Tupime kila nyumba kwa nyumba.
Tumkodishe Magufuli kwa wakenya akawafundishe namna ya kuukabili huu ugonjwa kisomi kiimani na kisayansi kimu.
 
“Containment measures to flatten the curve”.... ndio kitu gani hiki? Hiyo msg WHO wawapelekee USA huko wanakofariki watu 1000+ a day

WHO waache matamko ya kisiasa. Kama wapo serious waongeze juhudi na kuleta chanjo haraka
 
Tusifurahishwe na ongezeko la vifo vya wenzetu..
Sisi kuwa hai haimaanishi kwamba ni wanjanja zaidi au labda tuna guarantee ya kuishi,, hapana.

Tuwaombee
 
Tusifurahishwe na ongezeko la vifo vya wenzetu..
Sisi kuwa hai haimaanishi kwamba ni wanjanja zaidi au labda tuna guarantee ya kuishi,, hapana.

Tuwaombee
Waache wafe hao sio watu wazuri, walitusema sana na kutuombea mabaya yatutokee, waliongoza dunia kupiga kampeni dunia itutenge, Mungu ameamua kuwaonyesha kwamba ubaya hulipwa kwa ubaya.
 
Kulifunguliwa lini? Hahaha
Mbona marufuku ya kutumia vilevi ipo pale pale? Shule na vyuo lini vilifunguliwa? Makanisani je?

[emoji706][emoji706][emoji706]
Kujitoa ufahamu sio mbaya
 
Back
Top Bottom