Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote

Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye kiwango cha kilevi kinachotakiwa na kuzisambaza bure kwa Umma

Katika barua hiyo MAT wametakiwa kutafuta vilevi vyote aina ya ethanol vinazoshikiliwa katika bandari mbalimbali na katika maeneo mbalimbali katika Jamhuri ya Kenya

Pia, wametakiwa kupeleka vilevi hivyo katika Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) kwa kuzingatia Kanuni za Utendaji kazi wa MAT

KPC watashirikiana na Kampuni za mafuta zilizoonesha nia ya kutengeneza Sanitizers hizo katika hali ya faida kwa wote na watatengeza mpango kazi kuhakikisha ethanol inatumika vema na Sanitizer zinagaiwa baada ya kutengenezwa

5B1EB4D4-FAD2-4264-9D56-19D1598AA1A0.jpeg

96EFBD5B-2EB3-4FCC-BB1B-9C017F0CB6F5.jpeg
 
Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote

Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye kiwango cha kilevi kinachotakiwa na kuzisambaza bure kwa Umma

Katika barua hiyo MAT wametakiwa kutafuta vilevi vyote aina ya ethanol vinazoshikiliwa katika bandari mbalimbali na katika maeneo mbalimbali katika Jamhuri ya Kenya

Pia, wametakiwa kupeleka vilevi hivyo katika Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) kwa kuzingatia Kanuni za Utendaji kazi wa MAT

KPC watashirikiana na Kampuni za mafuta zilizoonesha nia ya kutengeneza Sanitizers hizo katika hali ya faida kwa wote na watatengeza mpango kazi kuhakikisha ethanol inatumika vema na Sanitizer zinagaiwa baada ya kutengenezwa

View attachment 1392827
View attachment 1392826
And most ethanol in Kenya comes from Tanzania!

Mumias Sugar steps up regional molasses imports
 
Naona huu ugonjwa wa corona unakuzwa sana ili watu wapige hela tu...
 
Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote

Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye kiwango cha kilevi kinachotakiwa na kuzisambaza bure kwa Umma

Katika barua hiyo MAT wametakiwa kutafuta vilevi vyote aina ya ethanol vinazoshikiliwa katika bandari mbalimbali na katika maeneo mbalimbali katika Jamhuri ya Kenya

Pia, wametakiwa kupeleka vilevi hivyo katika Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) kwa kuzingatia Kanuni za Utendaji kazi wa MAT

KPC watashirikiana na Kampuni za mafuta zilizoonesha nia ya kutengeneza Sanitizers hizo katika hali ya faida kwa wote na watatengeza mpango kazi kuhakikisha ethanol inatumika vema na Sanitizer zinagaiwa baada ya kutengenezwa

View attachment 1392827
View attachment 1392826
Hizi ndizo serikali zinazowajali wananchi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa angalau wameonyesha kujali.....
 
And most ethanol in Kenya comes from Tanzania!

Mumias Sugar steps up regional molasses imports


Quote:
The sugar miller has been importing molasses — the raw material used in ethanol production — from Uganda for over eight months now but, has now extended this to Tanzania with the first shipment of 600 tonnes expected to arrive this month through Lake Victoria.
EndQuote.


So labda useme raw materials za kutengeneza Ethanol ndo tunaagizia kutoka kwenu, alafu hio raw materal ndo tunatumia kutengeneza Ethanol hapa Kenya.
Lakini hii habari ni kuhusu hand sanitizer, Ethernol ndo inatumika kutengeneza alcohol based hand sanitizer,hii ni process nyengine ambayo inahitaji ethernol kuregeshwa viwandani!
Alafu BTW, Unakumbuka wewe na Joto La Jiwe mkiuliza kwanini tunafufua Kisumu port, Unaona vile wanasema hizo molasses zililetwa kupitia ziwa Victoria??? Hio hapo ni sababu moja....



News just in






90143888_4472602922782093_7992818440026980352_o.jpg
 
Ni vyema kama mtamshauri Mkulu ahimize utengenezaji wa hiyo sanitizer kama mali ghafi tunayo itolewe bure kwa Watz iuzwe kwa majirani simple!
Sasa tutajivuna tuna ethanol tunayo halafu watu wetu wafe inaingia akilini kweli?
tatizo viwanda hatuna... kisha mchezo huo tuliujaribu wakati ule tulipotaka kuwauzia Wakenya unga wa mahindi badala ya mahindi, ili vi-wonder vyetu viweze kuwa viwanda, kwa bahati nzuri au mbaya, wakashtukia, wakasita kununua unga pamoja na mahindi wakaelekea Afrika Kusini na Mexico.
Wacha tuwauzie Wakenya mali ghafi zetu maana kama ni viWanda, wanavyo!
sisi bado tupo usingizini.
 
Ni vyema kama mtamshauri Mkulu ahimize utengenezaji wa hiyo sanitizer kama mali ghafi tunayo itolewe bure kwa Watz iuzwe kwa majirani simple!
Sasa tutajivuna tuna ethanol tunayo halafu watu wetu wafe inaingia akilini kweli?
Utawapa wenye viwanda vidonda vya tumbo bure tu. Maanake agizo likitolewa kwamba kila mmoja wao lazima achomoe lita elfu kumi za ethanol kila siku stress zitakuwa ni kwao hawa hapa. [emoji1]
DnHfOyKXsAEY8hV.jpg
 
Kunawa maji yanayotiririka na sabuni ya kawaida tu kwa sekunde 20 inatosha kabisa kusafisha mikono
 
Back
Top Bottom