Tuna fedha za kununua wapinzani na kurudia chaguzi kila siku ila za kuwekeza kwenye tafiti hatujawahi kuwa nazo.Hatuwezi, kwa mfano, tukaacha kununua vifaa vya kudhibiti maandamano kama silaha na magari ya kubeba maji ya washa washa eti badala yake tununue vifaa vya maabara. Never in Africa.
Angalia HAKUNA reference lab for confirmatory testing of corona testing Africa
ukiacha South Africa
Hongera kwao Wasenegal, pamoja na kuwa weusi tii, Sasa si Waafrica tena.Waafrika wenzangu.
Janga hili mchango wetu ni upi? Angalia hakuna reference lab for confirmatory testing of corona testing Africa ukiacha South Africa ambako, I guess ni wazungu! Serikali zetu zipate funzo ku support research in our countries.
Hiyo Senegal vipiWaafrika wenzangu.
Janga hili mchango wetu ni upi? Angalia hakuna reference lab for confirmatory testing of corona testing Africa ukiacha South Africa ambako, I guess ni wazungu! Serikali zetu zipate funzo ku support research in our countries.