CoronaVirus: Tulioagizia mizigo yetu China tufanyeje?

CoronaVirus: Tulioagizia mizigo yetu China tufanyeje?

Mzigo wangu umefika toka tar 25 mwezi uliopata lkn niki track inaonekana held by customs..sijui inakuwaje hapo.sielewi
 
Nashauri na nguo za Mitumba kutoka China nazo zipigwe ban,
 
Zikifika inabidi tuzipime joto kwa kujiridhisha na hatua za awali, pili mizigo yako ikija itabidi wewe na mizigo yako tuwapeleke quarantine maana haiwezekani muwe na wasiwasi kiasi icho na COVID 19
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu Umenifurahisha Sanaa... Quarantine Bongo?

Zikifika inabidi tuzipime joto kwa kujiridhisha na hatua za awali, pili mizigo yako ikija itabidi wewe na mizigo yako tuwapeleke quarantine maana haiwezekani muwe na wasiwasi kiasi icho na COVID 19




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Du bila shaka wanataka kuniingiza chaka ohhooo
Screenshot_2020-02-13-10-26-54.jpg
 
Hili ni janga,,,Kuna matajiri wako kwenye Meli nao wanazungushwa tu baharini hawafiki kwao kila nchi inawakataa,wamelia mpaka sauti zimewakauka,
 
Mpaka Japan Imewatosa, [emoji3][emoji3][emoji3] Ndani Suspected Cases Ni 200 Wanasema

Hili ni janga,,,Kuna matajiri wako kwenye Meli nao wanazungushwa tu baharini hawafiki kwao kila nchi inawakataa,wamelia mpaka sauti zimewakauka,




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom