Hao wachina wataachiwa! The worse case scenario wata fukuzwa Kenya. Sijui kwanini wachina wakiwa Africa wanakua wezi sana wakati kwao adhabu ya ufisadi ni kunyongwa.
SGR tayari inapumulia mashine sasa wachina wanaipora nakuitafuna bila huruma[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzidi hayo, wakenya walioajiriwa hapo wanapigwa kichapo cha kung Fu kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]