Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana kwao wananyongwa... Ukiacha wanigeria kwa Africa, mchina anakamata no moja dunianiHao wachina wataachiwa! The worse case scenario wata fukuzwa Kenya. Sijui kwanini wachina wakiwa Africa wanakua wezi sana wakati kwao adhabu ya ufisadi ni kunyongwa.
Wanafanya kolabo na wazawaSGR tayari inapumulia mashine sasa wachina wanaipora nakuitafuna bila huruma[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzidi hayo, wakenya walioajiriwa hapo wanapigwa kichapo cha kung Fu kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
Uzalendo wako ndio utukane watu !? Sych !It's not a laughing matter punguani. How I wish you had a functioning brain. ******** sycophant.