Tetesi: Corrupt Chinese Stealing SGR ticket Money😂😂

Tetesi: Corrupt Chinese Stealing SGR ticket Money😂😂

Kila mtu ni mwizi akipata nafasi ya kuiba na akipata cha kuiba na mazingira yakiruhusu
 
Hao wachina wataachiwa! The worse case scenario wata fukuzwa Kenya. Sijui kwanini wachina wakiwa Africa wanakua wezi sana wakati kwao adhabu ya ufisadi ni kunyongwa.
Ndio maana kwao wananyongwa... Ukiacha wanigeria kwa Africa, mchina anakamata no moja duniani
 
SGR tayari inapumulia mashine sasa wachina wanaipora nakuitafuna bila huruma[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuzidi hayo, wakenya walioajiriwa hapo wanapigwa kichapo cha kung Fu kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafanya kolabo na wazawa
 
So how are they going to repay the massive SGR loan... Bure kabisa!
 
Back
Top Bottom