COSAFA cup 2017 Taifa stars inaongoza 2-0 dhidi ya malawi

MKWEPA KODI

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
28,701
Reaction score
71,056
Magoli yote mawili yamefungwa na Yahaya ramadhani
* kipindi cha kwanza dakika ya 23
* dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeisha Tanzania 2 Malawi 0
Update
Dakika ya 82 bado tunaongoza 2-0
* dakika 90 zimekwisha zimebaki dakika za nyongeza

Final update

TAIFA STARS 2 MALAWI 0 TUMESHINDA

Mods hiyo ni breaking news sio news alert anymore
 
Supersport chanel 219 na 234 Ramadhani Kichuya kascore 2
1. Manula
2. Kapombe
3. Gadiel Michael
4.Banda
5. Mbonde
6. Nyoni
7 Msuva
8. Mao
9. Maguli
10. Mzamiru
11. Kichuya
 
Tukishindaga tu huwa tunasahau kama hatujui mpira..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…