MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Vifurushi vyote vya dstv channel mbalimbali za michezo ikiwepo 219 ss9 eastafricaChannel gani wanaonyesha
Mpira unachezwa nusu uwanja upande wa malawiBado siwaamini, maana timu yetu ni kama homa ya vipindi...
Haya... lakini mimi nasubiri hadi dakika za mwisho mwisho ndio nishangilie, kwa sasa hmm...Mpira unachezwa nusu uwanja upande wa malawi
Sawa mkuu ila usisahau kuwaombea vijana wetuHaya... lakini mimi nasubiri hadi dakika za mwisho mwisho ndio nishangilie, kwa sasa hmm...
ZBC2 kwa azam pia supersport wanaonyeshaChannel gani wanaonyesha
Hilo ndio la msingi, mimi huwa sio shabiki wa soka, lakini kwenye timu ya taifa, huwa nakuwa mzalendo kwa Utanzania wangu...Sawa mkuu ila usisahau kuwaombea vijana wetu
TBC hawaonyeshi live?ZBC2 kwa azam pia supersport wanaonyesha
Google.....ila Tanzania imealikwa kama mgeni.Kwani cosafa kirefu chake nn
mh TBC? hawana uwezo huo waache kutangaza trmp kumcfia JPM waoneshe mpr? ujuz uwezo vifaa pia hawana walimfukuza tido angewasogeza huku kwa ujuz wake.ila.wanapiga mark tym bado watasbr xna TBCTBC hawaonyeshi live?
Azam TV ZBC2Channel gani wanaonyesha
Chaneli 234 dstvChannel gani wanaonyesha