F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Aug 21, 2021 #21 Chief-Mkwawa said: We umechanganya Mechi ya cheka na Dullah mbabe vs Twaha. Mechi ya Cheka iliisha mapema baada ya foul kutokea, waligongana vichwa na kupasuana. Click to expand... Bwna eee mi naongea mechi na Dullah na Twaha Kiduku...huyo Dullah kanyukwa kuanzia round ya 2 hadi kumi - hamna kitu mle.
Chief-Mkwawa said: We umechanganya Mechi ya cheka na Dullah mbabe vs Twaha. Mechi ya Cheka iliisha mapema baada ya foul kutokea, waligongana vichwa na kupasuana. Click to expand... Bwna eee mi naongea mechi na Dullah na Twaha Kiduku...huyo Dullah kanyukwa kuanzia round ya 2 hadi kumi - hamna kitu mle.
playboy babu JF-Expert Member Joined Nov 12, 2015 Posts 2,648 Reaction score 1,566 Aug 21, 2021 #22 screpa said: Cheka mbona kacheza vizuri round 3 za kwanza, anajab vizuri. We ulikuwa unaangalia pambano lipi? Click to expand... Nisaidie ww ndugu yangu
screpa said: Cheka mbona kacheza vizuri round 3 za kwanza, anajab vizuri. We ulikuwa unaangalia pambano lipi? Click to expand... Nisaidie ww ndugu yangu
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Aug 21, 2021 #23 Kuna moja alicheza na mmalawi, alichemka sana
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Aug 22, 2021 #24 Wekeni picha yake huyu pimbi