Wote sasa hivi wamejificha na vikokotozi/calculators maana aibu imewafunika. Wanatafuta na ku-google ikawaje yao igahrimu $7b ilhali yetu $3.8b ukizingatia na manunuzi ya mabehewa na locomotives na ujenzi wa vituo na mambo mengi yakiwemo madaraja ya kupitia juu kwa juu. Wamekimbia wote na kuachia jamaa fulani anaitwa redeemer ang'ang'anie kuanika ukilaza wa kibongo bongo.
Here are Turkish Freight trains dont be stupid too quick just keep in mind Tanzania will be receiving them in 2021 mtakuwa Laughing stock ya Africa at 2021Stop saying mabehewa please, you are putting my ribs in trouble
it is like old fashioned waste disposal machine
Uki consider Annual budget ya Kenya ni 23bn$ yearly na ya TZ ni 12bn$ yearlyNimeelewa sasa. 400kms ni first phase na ilikuwa igharimu $7.6b. waaah.
Here are Turkish Freight trains dont be stupid too quick just keep in mind Tanzania will be receiving them in 2021 mtakuwa Laughing stock ya Africa at 2021
View attachment 463920View attachment 463921View attachment 463922
Always Tz miradi yetu ni ya viwango vya juu..I mean unending wa kisasa hatulipui ili mradi...Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Wale wanatia aibu sanaredeemer pls read again
14bn$ ni kutoka mombasa mpaka Kenya Uganda Border
3.8bn$ ni kutoka mombasa mpaka nairobi wacha kutia aibu bana
Thread was going well mpaka ukaingilia na inferiority complex Yako
Wote sasa hivi wamejificha na vikokotozi/calculators maana aibu imewafunika. Wanatafuta na ku-google ikawaje yao igahrimu $7b ilhali yetu $3.8b ukizingatia na manunuzi ya mabehewa na locomotives na ujenzi wa vituo na mambo mengi yakiwemo madaraja ya kupitia juu kwa juu. Wamekimbia wote na kuachia jamaa fulani anaitwa redeemer ang'ang'anie kuanika ukilaza wa kibongo bongo.
redeemer pls read again
14bn$ ni kutoka mombasa mpaka Kenya Uganda Border
3.8bn$ ni kutoka mombasa mpaka nairobi wacha kutia aibu bana
Thread was going well mpaka ukaingilia na inferiority complex Yako
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Mkuu naomba unipige tution ya inglishi..Are you talking about this sharks of yoursthese horrors should even cost free of charge
Hii habari mmeidandia bila kuielewa $7bn usd ilikuwa ni pesa inayotolewa na china kwa ujenzi wa sgr toka dar mpaka mza na kigoma, baada ya kutoelewana na china serikali ikaamua kugawa project katika vipande na kuanza kutafuta pesa upya. Kwa kuanzia serikali itaanza ujenzi wa km 200 toka dar mpaka moro kwa pesa kutoka kwenye bajeti, treni zitatumia umeme na mafuta according to yesterday speech from magufuli, the amount of money turkey will provide is not yet to be known.
redeemer pls read again
14bn$ ni kutoka mombasa mpaka Kenya Uganda Border
3.8bn$ ni kutoka mombasa mpaka nairobi wacha kutia aibu bana
Thread was going well mpaka ukaingilia na inferiority complex Yako
nenda kaangalie Hutuba ya Magu jana!!
Hizo km 400 Zitakuwa na njia za umeme
tutatumia Treni aina mbili
moja ya mafuta nyingine ya umeme
Siyo yale Ma mitungi yenu unatuambia Treni!!
Ur upstairs must be corrupted you need a little encryption... Those horoes are scraper read for disporsal...That piece of engineering, soma data zake ndio uje kubwabwaja upumbavu hapa, unafikiri hii ni ile milegezo yenu ya singeli.
Mkuu naomba unioige tution ya inglishi..
It look tired tho it said to be newStop saying mabehewa please, you are putting my ribs in trouble
it is like old fashioned waste disposal machine