Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Stop saying mabehewa please, you are putting my ribs in trouble
sgr-kenya-train.jpg

it is like old fashioned waste disposal machine
Wote sasa hivi wamejificha na vikokotozi/calculators maana aibu imewafunika. Wanatafuta na ku-google ikawaje yao igahrimu $7b ilhali yetu $3.8b ukizingatia na manunuzi ya mabehewa na locomotives na ujenzi wa vituo na mambo mengi yakiwemo madaraja ya kupitia juu kwa juu. Wamekimbia wote na kuachia jamaa fulani anaitwa redeemer ang'ang'anie kuanika ukilaza wa kibongo bongo.
 
Stop saying mabehewa please, you are putting my ribs in trouble
sgr-kenya-train.jpg

it is like old fashioned waste disposal machine
Here are Turkish Freight trains dont be stupid too quick just keep in mind Tanzania will be receiving them in 2021 mtakuwa Laughing stock ya Africa at 2021

1485414730117.jpg
1485414737960.jpg
1485414744791.jpg
 
SGR-train-1024x689.jpg

Like serious??

The project consumed multiple of feasibility, reviews, comparison, study cases, billions of dollars, tours, professional consultations, modernity outfit, current fashionable, durability, long time last and everything then at the end the end product is that horrific metal????? Kidding
 
Nimeelewa sasa. 400kms ni first phase na ilikuwa igharimu $7.6b. waaah.
Uki consider Annual budget ya Kenya ni 23bn$ yearly na ya TZ ni 12bn$ yearly

Keeping up with the Jonesses is real....FAKE IT TILL YOU MAKE IT ATTITUDE .....ngoja watapata rude shock hapo mbele .....the only good thing about this news is that it will be more quality than Chinese ones !!
 
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km

Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b

Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Always Tz miradi yetu ni ya viwango vya juu..I mean unending wa kisasa hatulipui ili mradi...
Ni majengo ya kisasa na stand za kisasa..ngoja niku-calculatie uelewe vzr..
 
Stop crying like lunatic, the truth is straight forward your lame and ugly project costs some approx $14 billion
Wote sasa hivi wamejificha na vikokotozi/calculators maana aibu imewafunika. Wanatafuta na ku-google ikawaje yao igahrimu $7b ilhali yetu $3.8b ukizingatia na manunuzi ya mabehewa na locomotives na ujenzi wa vituo na mambo mengi yakiwemo madaraja ya kupitia juu kwa juu. Wamekimbia wote na kuachia jamaa fulani anaitwa redeemer ang'ang'anie kuanika ukilaza wa kibongo bongo.
 
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km

Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b

Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.

nenda kaangalie Hutuba ya Magu jana!!
Hizo km 400 Zitakuwa na njia za umeme
tutatumia Treni aina mbili
moja ya mafuta nyingine ya umeme
Siyo yale Ma mitungi yenu unatuambia Treni!!
 
Hii habari mmeidandia bila kuielewa $7bn usd ilikuwa ni pesa inayotolewa na china kwa ujenzi wa sgr toka dar mpaka mza na kigoma, baada ya kutoelewana na china serikali ikaamua kugawa project katika vipande na kuanza kutafuta pesa upya. Kwa kuanzia serikali itaanza ujenzi wa km 200 toka dar mpaka moro kwa pesa kutoka kwenye bajeti, treni zitatumia umeme na mafuta according to yesterday speech from magufuli, the amount of money turkey will provide is not yet to be known.
 
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km

Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b

Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.

Inategemeana na Value for Money Mkuu. Kwenu wakina nani wanatengeneza wachina? Kama wachina wako very low price na sina uhakika na quality yao.
 
Hii habari mmeidandia bila kuielewa $7bn usd ilikuwa ni pesa inayotolewa na china kwa ujenzi wa sgr toka dar mpaka mza na kigoma, baada ya kutoelewana na china serikali ikaamua kugawa project katika vipande na kuanza kutafuta pesa upya. Kwa kuanzia serikali itaanza ujenzi wa km 200 toka dar mpaka moro kwa pesa kutoka kwenye bajeti, treni zitatumia umeme na mafuta according to yesterday speech from magufuli, the amount of money turkey will provide is not yet to be known.

Bora umewasaidia wenzio pa kutokea. Waikua wameanza kutetea bila data.
 
Duh kumbe cnn wamewapunguzia kumbe mradi umecost more than $17.8 billion according to your zero brain statistics Hahahahaa


(CNN)It's been billed as the most ambitious project in Kenya since it gained independence in 1963.

Now, the first section of the east African nation's $13.8 billion railway is nearly finished.
Originally planned to link Mombasa and Nairobi, the decision was made to extend the line to the market town of Naivasha in 2015, and 75% of civil works have reportedly been completed. This first Mombasa-Nairobi stretch will be completed by June 2017, consulting firm CPCS told CNN.

Sasa kama hizo $14 billion hazihusiki na Nairobi to Mombasa imekuaje cnn wamezitaja?? You are all cunts
redeemer pls read again

14bn$ ni kutoka mombasa mpaka Kenya Uganda Border

3.8bn$ ni kutoka mombasa mpaka nairobi wacha kutia aibu bana

Thread was going well mpaka ukaingilia na inferiority complex Yako
 
Hahahahaa asante
nenda kaangalie Hutuba ya Magu jana!!
Hizo km 400 Zitakuwa na njia za umeme
tutatumia Treni aina mbili
moja ya mafuta nyingine ya umeme
Siyo yale Ma mitungi yenu unatuambia Treni!!
 
That piece of engineering, soma data zake ndio uje kubwabwaja upumbavu hapa, unafikiri hii ni ile milegezo yenu ya singeli.
Ur upstairs must be corrupted you need a little encryption... Those horoes are scraper read for disporsal...
 
Back
Top Bottom