Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kumbe tayar nilidhan bado nimebaki na habar za zaman
Treni zimeshanumuliwa kutoka Korea na training inafanywa na Turkey na Korea model inayokuja ni Hyundai Rotem ambazo hata Turkey wanazitumia huko kwao. Google Hyundai Rotem trains utaona zimekaaje.
 
treni zimenunuliwa...lini...tupieni link hapa...hatutaki maneno ya leso hqpa..bwahahaa.....eti magufuli kasema...huyo bingwa kw kusema tu...kasema sana...koroshow,atcl(safari za mumbai,guonzou),pesa za ndani(pesa za stanchart bank)...wahahaaa...

hii story km ni ya ukwel basi geza angelipiga kelele hadi kifo...ukwel ni...hamjanunua treni yyte ile
 
Unabwabwaja tu ww magufuli sio uhuru badala ya kupiga kelele shughulikia maden yako Yaishe maana yamezid mno.
Magu akisema anatekeleza alisema ataiboresha meter gauge na kaiboresha.
Alisema.ataboresha mabehewa na anaboresha,amesema atapanua barabara na anazipanua,amesema atajenga fly over ubungo kupunguza folen na zinajengwa.
Unadhan huyu uhuru kenyatta muongeza maden ya nchi mtasema sana in Tz there are more to come
 
Una deni la 50 billion us dollars usishindane na sis wenye kaden cha 24 billion us dollars ww unadaiwa mara mbili yetu na bado den la mchina hapo kax unayo lipa maden.
Tuache sis.tusonge mbele na magufuli wetu there are more to come wid magu
 
Una deni la 50 billion us dollars usishindane na sis wenye kaden cha 24 billion us dollars ww unadaiwa mara mbili yetu na bado den la mchina hapo kax unayo lipa maden.
Tuache sis.tusonge mbele na magufuli wetu there are more to come wid magu
Awana pesa za kununulia trein. Anadhani trein ni Toyota za JPM... Au TATA
 
Awana pesa za kununulia trein. Anadhani trein ni Toyota za JPM... Au TATA
Mkenya akae akilipa maden sisi wabongo tubaki zetu tukisonga mbele km mirad mingi tuliwexa kuitimiza kwa pesa zetu kivp tushindwe kununua bullet train tz ya magufuli tunaweza
 
Tanzania kununua train wanaweza ukiangalia mgr ya tz na engine zake ni bora kuliko ya kenya kivipi tz ashindwe kwenye sgr
Awana pesa za kununulia trein. Anadhani trein ni Toyota za JPM... Au TATA
 
Mkenya akae akilipa maden sisi wabongo tubaki zetu tukisonga mbele km mirad mingi tuliwexa kuitimiza kwa pesa zetu kivp tushindwe kununua bullet train tz ya magufuli tunaweza
leta hyo link ya hzo treni mlizonunua...na km ni kukopa ndio tutakopa sana ..
nitajie mradi ambao kaunzisha magufuli na kufikia sasa umekamilika...ukileta na log off jf...
 
Una deni la 50 billion us dollars usishindane na sis wenye kaden cha 24 billion us dollars ww unadaiwa mara mbili yetu na bado den la mchina hapo kax unayo lipa maden.
Tuache sis.tusonge mbele na magufuli wetu there are more to come wid magu
halaafu kumbe hujui hesabu...deni la kenya umesema ni $50bln so $99bln minus $50bln=$49bln

sasa tuje kw magu $60bln minus $24 bln=$36bln...

sasa hapo ni nani kakopa sana...bwahahaaaanadhani umeshanielewa ...ba hzo data ni according to gdp
 
halaafu kumbe hujui hesabu...deni la kenya umesema ni $50bln so $99bln minus $50bln=$49bln

sasa tuje kw magu $60bln minus $24 bln=$36bln...

sasa hapo ni nani kakopa sana...bwahahaaaanadhani umeshanielewa ...ba hzo data ni according to gdp
Tutauza dhahabu. Kwa waarabu, Tena zilizotoka kwa wajinga
 
Johannesburg tar 28 June, Mumbai tar 17july njoo ununue ticket kijana
 
nynyi hamyezi kopa...manake mkikopa tu tena tu nchi inafilisika ...bwahahaaa...hemu fikisheni hyo $50bln km kenya muone mtabakisha nn

Tukitaka kukopa hata 100bn tunaweza ni kazi rahisi tuu kuweka gdp yetu kwenye makaratasi kama kenya itatupa room for more borrowing 🤣🤣🤣
 
Tukitaka kukopa hata 100bn tunaweza ni kazi rahisi tuu kuweka gdp yetu kwenye makaratasi kama kenya itatupa room for more borrowing 🤣🤣🤣
hhhhhhhh...!!!msijali..mtasemehewa tena...bwahahaaaa....gdp ya makaratasi ni nn?
 
Tazara Fly over,upanuz wa barabara morogoro road ununuaji wa ndege,urekebishaji na uboreshaji wa metre gauge railway hvyo ni too much vinakutosha
leta hyo link ya hzo treni mlizonunua...na km ni kukopa ndio tutakopa sana ..
nitajie mradi ambao kaunzisha magufuli na kufikia sasa umekamilika...ukileta na log off jf...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…