Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Onyesha mlichofanya na 99% usage of ur brain!
I know inakuuma lakini this is the reality.
IMG_20190728_121539_333.JPG
 
Why iniume while 1% brain usage in Bongoland beats 99% brain usage in Kunyaland!
IMG_20190729_002822_273.jpg
IMG_20190729_002822_273.jpg
ningejua ndo huyu huyu alosema "an hotel" jumlisha na hii ya matumizi ya "the". Yani kingereza cha dampo! Makosa kama hayo sio ya mtu aloenda proper school. ipo wazi elimu yake ni ndogo. Kwa kujua hilo mi nishampuuzia huko!
IMG_20190729_002822_273.jpg
IMG_20190729_003833_022.jpg

Yani ignorance haijifichi nyuma ya keyboard.
 
Anayofanya Magufuli yanaogopesha! Chukua mfano daraja la Likoni la 1.2 km Zaidi ya miaka 10 linaongelewa! Ndani ya miaka miwili tangu JPM atangaze mpango wa daraja Kigongo-Busisi kesho mkataba unasainiwa na fedha zimetengwa!

Unajua Tz kuna rivers nying sana..cost za hili daraja ni almost 500km of tarmac road....so kujenga madaraja ni kazi nzito sana.ila tunaifanya
 
Anayofanya Magufuli yanaogopesha! Chukua mfano daraja la Likoni la 1.2 km Zaidi ya miaka 10 linaongelewa! Ndani ya miaka miwili tangu JPM atangaze mpango wa daraja Kigongo-Busisi kesho mkataba unasainiwa na fedha zimetengwa!



Magufuli ‘asipodhibitiwa’ unaweza kusikia anasema najenga daraja la Dar-Zanzibar na akajenga kweli ndani ya mwaka mmoja[emoji23][emoji23]
 
Hahaha Beats us in poverty level, sindio?View attachment 1166077View attachment 1166078
Endapo ungekuwa mchambuzi mzuri wa masuala ya maendeleo ungeona kuwa miaka si mingi ijayo hali itakuwa tofauti na ile iliyopo sasa.

Iko wazi kuwa tulikuwa "a sleeping giant" kwa miaka mingi. Ila baada ya Magufulification ya 2015 unaweza ona ni kwa kasi gani TZ inakuja.

Nikupe darasa kidogo kuhusu wajibu wa serikali yoyote ile ulimwenguni. Mambo ni mawili makubwa;

1. Kutengeneza "mazingira wezeshi" ili shughuli za uzalishaji ziweze kufanyika.

2. Kufanya uzalishaji pale ambapo hata baada ya kuwepo mazingira wezeshi, sekta binafsi haiwezi kufanya uzalishaji. Mf. Huduma za kijamii, uwekezaji mkubwa wa kimkakati kama chuma, mafuta, gesi, nk

Hayo mazingira wezeshi yanajumuisha yafuatayo;

1. Miundombinu
2. Nishati
3. Rushwa
4. Mfumo wa taasisi na sheria
5. ...
6. ...

Sasa kama unaangalia kinachoendelea TZ baada ya 2015 huhitaji kutumia nguvu kubwa sana kujua tutakuwa wapi come 2025.
 
You beats ?????!!!! Kweli ???

We jamaa ni bingwa wa broken english
hydrogen njoo umuone jamaa yako na english yake mbovu mbovu
Mi nimeacha kum-engage baada ya kumuelewa. Yani Kenya masomo yote toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu lugha ya kufundishia ni kingereza. Tuseme Jumla miaka 12 usipoenda chuo na Unakuta mtu bado anaongea broken ya "an hotel" analinganisha vitu anasema "is best"! Saivi tena "you beats us". Alafu alipoona kutumia "the" ni kwenye "slaughtering THE albinos!! Kweli?!
Huyo siwezi kujibizana nae halo
 
Back
Top Bottom