Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #3,581
Onyesha mlichofanya na 99% usage of ur brain! Maana it's obvious 1% brain usage by Tanzania beats 99% brain usage by Kunyans!I know it's paining you.View attachment 1165880
I know inakuuma lakini this is the reality.Onyesha mlichofanya na 99% usage of ur brain!
Hiyo 1% tumefanya mengi je ww mwenye 99 umetuzid nn hasa ilhal tunakupumulia mgongoni na kuku challenge ??I know inakuuma lakini this is the reality. View attachment 1165899
Why iniume while 1% brain usage in Bongoland beats 99% brain usage in Kunyaland!I know inakuuma lakini this is the reality. View attachment 1165899
Why iniume while 1% brain usage in Bongoland beats 99% brain usage in Kunyaland!
Na huyu jamaa anajikuta mjuaji balaaa.View attachment 1165948View attachment 1165948ningejua ndo huyu huyu alosema "an hotel" jumlisha na hii ya matumizi ya "the". Yani kingereza cha dampo! Makosa kama hayo sio ya mtu aloenda proper school. ipo wazi elimu yake ni ndogo. Kwa kujua hilo mi nishampuuzia huko!View attachment 1165948View attachment 1165952
Kapata ka smartphone nae sasa anajiona scholar wakati elimu yake ni ndogo. Ujinga haujifichi!Na huyu jamaa anajikuta mjuaji balaaa.
Unajua Tz kuna rivers nying sana..cost za hili daraja ni almost 500km of tarmac road....so kujenga madaraja ni kazi nzito sana.ila tunaifanyaAnayofanya Magufuli yanaogopesha! Chukua mfano daraja la Likoni la 1.2 km Zaidi ya miaka 10 linaongelewa! Ndani ya miaka miwili tangu JPM atangaze mpango wa daraja Kigongo-Busisi kesho mkataba unasainiwa na fedha zimetengwa!
Take the doseHiyo 1% tumefanya mengi je ww mwenye 99 umetuzid nn hasa ilhal tunakupumulia mgongoni na kuku challenge ??
Yeah, I agree that you beats us in killing innocent children and slaughtering the albinos.Why iniume while 1% brain usage in Bongoland beats 99% brain usage in Kunyaland!
You only direct your 1% in witchcrafts and sorcery.View attachment 1165948View attachment 1165948ningejua ndo huyu huyu alosema "an hotel" jumlisha na hii ya matumizi ya "the". Yani kingereza cha dampo! Makosa kama hayo sio ya mtu aloenda proper school. ipo wazi elimu yake ni ndogo. Kwa kujua hilo mi nishampuuzia huko!View attachment 1165948View attachment 1165952
Yani ignorance haijifichi nyuma ya keyboard.
Wewe nenda madrassa ukajifunze suicide bombing.Na huyu jamaa anajikuta mjuaji balaaa.
Kapata ka smartphone nae sasa anajiona scholar wakati elimu yake ni ndogo. Ujinga haujifichi!
Hahaha Beats us in poverty level, sindio?Why iniume while 1% brain usage in Bongoland beats 99% brain usage in Kunyaland!
Anayofanya Magufuli yanaogopesha! Chukua mfano daraja la Likoni la 1.2 km Zaidi ya miaka 10 linaongelewa! Ndani ya miaka miwili tangu JPM atangaze mpango wa daraja Kigongo-Busisi kesho mkataba unasainiwa na fedha zimetengwa!
Endapo ungekuwa mchambuzi mzuri wa masuala ya maendeleo ungeona kuwa miaka si mingi ijayo hali itakuwa tofauti na ile iliyopo sasa.Hahaha Beats us in poverty level, sindio?View attachment 1166077View attachment 1166078
You beats ?????!!!! Kweli ???Yeah, I agree that you beats us in killing innocent children and slaughtering the albinos.
You beats ?????!!!! Kweli ???
We jamaa ni bingwa wa broken english
hydrogen njoo umuone jamaa yako na english yake mbovu mbovu
Tatizo wamesoma kwa kukariri [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nimeacha kum-engage baada ya kumuelewa. Yani Kenya masomo yote toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu lugha ya kufundishia ni kingereza. Tuseme Jumla miaka 12 usipoenda chuo na Unakuta mtu bado anaongea broken ya "an hotel" analinganisha vitu anasema "is best"! Saivi tena "you beats us". Alafu alipoona kutumia "the" ni kwenye "slaughtering THE albinos!! Kweli?!You beats ?????!!!! Kweli ???
We jamaa ni bingwa wa broken english
hydrogen njoo umuone jamaa yako na english yake mbovu mbovu