Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania


Haya nimekosea wapi?
Nionyeshe kosa lolote hapo niko tayari kukufundisha

Usilete porojo kilaza
 
There is nothing like "studying in English", bure kabisa.
Ok
If there is no something like that
You better show me how could it be! Just the way i have been doing to you! It is simple and easy
 
Ok
If there is no something like that
You better show me how could it be! Just the way i have been doing to you! It is simple and easy
I can't teach you anymore since you won't understand, I have realised that 1% can't grasp anything, Goodbye.
 
I can't teach you anymore since you won't understand, I have realised that 1% can't grasp anything, Goodbye.View attachment 1166928

Wewe ni kilaza
Huwezi nirekebisha mimi kwenye lugha ya kiingereza
Utawasumbua wasiowajua vizuri nyie wakenya huwa mnatumia broken english
Kumbuka naweza kuzungumza lugha tano za kimataifa




Kama umeshindwa kuelewa sentensi hii ndogo
Hutakuja kuelewa chochote dogo ni kama shule ilikujazia ujinga mob

Simply you have got a watermelon! Not the head!
 
I'm smiling, don't ask me why..
 
Acha tu nikucheke pole pole.
 
Jamaa ka chemka sana tena...yani alivyoandika haswa...mi wacha nikae kimya tu
Have you ever heard a proverb saying "Say yes to please a fool"? Now this is the correct time to use it. From now on I'll just laugh and move on.
 
Kwhyo we wajiona uko sawa sio..ok..
Mmeshindwa kunionyesha kosa?
Unajua nyie ni kama wanawake tu we kama unaona mtu kakosea,basi mrekebishe.
Nyie mnaleta mipasho!
hamjui english nyinyi mnaleta broken tu ukiweza ni-correct kuna usd 300 hapa kama zawadi..
 
Acha tu nikucheke pole pole.
If you can't correct the sentence,just shut the https://jamii.app/JFUserGuide up..!

To help you,the sentence was correct 100% i just wanted to see if you can get into my trap...keep learning bwana mdogo.
 
Kumbe bado uko na yale yale...nimeshakwambia tayari..km wajiona upo sahihi ni sawa...

$300 peleka angalau tandale zikawasaidie...watu tuna maisha yetu wenyewe...hatutishiki na vijisenti vya mitandaoni
Mmeshindwa kunionyesha kosa?
Unajua nyie ni kama wanawake tu we kama unaona mtu kakosea,basi mrekebishe.
Nyie mnaleta mipasho!
hamjui english nyinyi mnaleta broken tu ukiweza ni-correct kuna usd 300 hapa kama zawadi..
 
Hv jamaa kasema eti ni trap..na wakati kachemka kinyama....anyway...maisha yasonge...kwn iko nn bwana
 
Kumbe bado uko na yale yale...nimeshakwambia tayari..km wajiona upo sahihi ni sawa...
$300 peleka angalau tandale zikawasaidie...watu tuna maisha yetu wenyewe...hatutishiki na vijisenti vya mitandaoni
Una maisha yako mwenyewe wapi wewe wakati uli-post picha umepanga chumba kimoja hapo mombasa huku umevaa suti flani hivi ya mtumba
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]asante sana kw kunihifadhia kumbu kumbu zangu....kemu nitumie hzo picha km unazo..nitakuja waonyesha watoto wangu ...
Una maisha yako mwenyewe wapi wewe wakati uli-post picha umepanga chumba kimoja hapo mombasa huku umevaa suti flani hivi ya mtumba
 
Una maisha yako mwenyewe wapi wewe wakati uli-post picha umepanga chumba kimoja hapo mombasa huku umevaa suti flani hivi ya mtumba
Ile suti yake ni zile za elfu 70 Kkoo, mkononi alikua ame acha ma label, akijiona P Diddy.. Hahahaha. Tuli mweka sawa, sasa hivi kanajifanya kajanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…