Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #3,821
kutoboa miamba haihusiki na phase I Dar-Moro miamba ile ipo Kilosa na Kilosa ni kati ya Moro-Dodoma yaani phase II Morogoro-Makutupora.Earth work imekamilika bado kutoboa miamba na kumalizia stations na madaraja ,Kwahiyo wacha tarehe ifike ndio uanze blabbering.
Watu waliibeza china hvyo hvyo haiwez inuka na ikafanikiwa kuwa amongst industrialized nation with in 5 years.
We wacha date ifike ndio uongee
hizo tunnels zitatudhirisha if you'll double stack or not and from a photo I've seen, I don't think so but we'll wait. Time will reveal.kutoboa miamba haihusiki na phase I Dar-Moro miamba ile ipo Kilosa na Kilosa ni kati ya Moro-Dodoma yaani phase II Morogoro-Makutupora.
Muna matatizo ya akili nyie ww unafkiri mchina huyo anaejenga 😆😆😆hizo tunnels zitatudhirisha if you'll double stack or not and from a photo I've seen, I don't think so but we'll wait. Time will reveal.
We unaonaje hapa👇👇👇hizo tunnels zitatudhirisha if you'll double stack or not and from a photo I've seen, I don't think so but we'll wait. Time will reveal.
Asante 💪👏
We unaonaje hapa[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1182188View attachment 1182186View attachment 1182187
Iko kenyaDouble stack iko wapi
Mtafute alieuliza swali ndilo jibu lake hilo naona umeamua kuvaa bikini yake👏👏😅😅Double stack iko wapi
Si bora ingekua mmealika mabalozi wa kutoka nchi mbali mbali walioko hapo Tz ili ku wauzia hio SGR yenu nzuri ndo wapeleke habari kwa nchi zao husika.....
They came back for SADC since each ambassador is to assume chairmanship of SADC in his respective country!Si bora ingekua mmealika mabalozi wa kutoka nchi mbali mbali walioko hapo Tz ili ku wauzia hio SGR yenu nzuri ndo wapeleke habari kwa nchi zao husika.....
Yani mliketi chini na mkaamua matumizi ya pesa zenu ni bora mkate tiketi kwa mabalozi wenu watanzania muwaregeshe nyumbani waje watembelee SGR, faida yake ni nini?
wamefika kuhudhuria kikao cha Sadc haya unayoyaona ni ziadaSi bora ingekua mmealika mabalozi wa kutoka nchi mbali mbali walioko hapo Tz ili ku wauzia hio SGR yenu nzuri ndo wapeleke habari kwa nchi zao husika.....
Yani mliketi chini na mkaamua matumizi ya pesa zenu ni bora mkate tiketi kwa mabalozi wenu watanzania muwaregeshe nyumbani waje watembelee SGR, faida yake ni nini?
the quality is just pathetic. hapa mturuki amewaingiza kidole.
the quality is just pathetic. hapa mturuki amewaingiza kidole.
Hii treni ya majaribio ni tamu kuliko ile tuk tuk ya wakenya[emoji851][emoji851]