THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Bado ila nafikiri wako kwny hatua za mwisho mwisho.Kwani hata mkandarasi ameshapatikana?!.hivi BRT kuelekea Pugu ishaanza kujengwa?
Usafiri wa ndege ndo uko tofauti kidogo na other mode of transportation,huu ndo pekee unakuhitaji uwahi kucheck in 2 hours before,sababu kubwa ni kupata wasaa wa kutosha kubalance,idadi ya lita za mafuta utakazoruka nazo,namna ya kupanga mizigo kwa uwiano mzuri kwa ajili ya stability,idadi ya abiria ulionao na zaidi kumpa captain muda wa kutosha kupitia checklist yake.Huku kwingine unaweza kufika hata nusu saa kabla.Fresh tu.
It's been close to 3 years since SGR Kenya became operational and is finally profitable against all the odds. Majirani ni 'mwakani' tu [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa tuanze kwanza kufanya biashara then tutaona,pia nimeipenda idea nyingine,kuna study ilikuwa inaendelea ya kutathimini matumizi bora ya ardhi maeneo yote inapopita reli ili kuspeed up maendeleo ya wananchi na kuendelea kutengeneza masoko mapya ya SGR kimkakati.
Japokuwa kutajengwa kituo kingine Pugu kuunganisha na commutter trains wacha kuzusha hamna kitu kama hicho ati cha treni za mkoani za abiria kuishia Pugu! Soma ripoti kila kitu kinaelezwa! Huwezi kujenga madaraja yale yote kuanzia Buguruni alafu treni isifike central itakuwa akili ya kijinga!
Leta evidence! treni za abiria zitaenda central station miaka 100 ijayo as long as viaduct itakuwapo soma ESIA report!Sijazusha mkuu. Kuna siku Kadogosa alidokeza hii kitu alipokuwa akizungumzia future plans ambazo zimelenga population prospects za 2035. Alikuwa akizungumzia pheasibility study ya commuter trains km 266 iliyofanywa kwa ushirikiano na kampuni moja ya SA.
Sina utaalamu sana ila nafahamu hivyo. Kwa maelezo yake route ya commuter trains itaanzia Pugu (zinapoishia passenger train za upcountry) ila main commuter station itakuwa hii DSM station ya SGR.
Sent using Jamii Forums mobile app
It's been close to 3 years since SGR Kenya became operational and is finally profitable against all the odds. Majirani ni 'mwakani' tu [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
See a reason why according to IFC an associated facility as Transmission Line for 220kV line btn Dar and Moro does not count in the cost of SGR!Its almost as if you guys are in another dimension where you can't see things straight ..
Your thinking is backwards, right now everyone says, Kenya's SGR is expensive (while being Diesel powered) while TZ SGR is cheaper(while being electric)..... How they get to this conclusion is by dividing the Cost of the project by the Distance covered.
What I'm trying to explain to you people who won't get it is that in Kenya's case, the cost of the project also covers the expenses for the 56 trains, 1,600 wagons, 50 coaches... among other additional things.... While in Tanzania's case, the cost of the TL is not covered in the $1.9B contract with Yepi, The Trains and Wagons are also not part of the project etc ... Therefore if you want to find the real cost of TZ SGR, you might want to first find out how much the trains, TL, wagons, Coaches will cost....
And BTW,Bridges and back-filling of embankment which Kenya has in plenty cost way more than electrification and wielding combined! So that's not really a reason for argument....
Here is an abstract breakdown of Kenya's phase 1 SGR project cost - $3.8B
-----------------------------------------------
View attachment 1338945
View attachment 1338946
Ukiangalia hio screenshot ya kwanza, ujenzi wa reli na stesheni garama yake ni only $2.66B kutoka Mombasahadi Nairobi.. Kwahivyo kama ingekua tunajenga reli kama Tanzania, hio $2.66B ndo ingekua kwa kandarasi tuliao sign na mchina, Alafu tunge tuma wanafunzi kusomea reli huko nje kwa garama zetu, tungenunua vichwa vya treni na mabehewa yake kwa garama ya kivyake, ICD ingejengwa kwa garama yake kando..etc
Sasa ninachosema kuhusu reli ya TZ ni kwamba hio $1.9B ya Dar-Moro bado hamjaongeza hesabu za TL,Vichwa, mabehewa,..... Kwahivyo hata mimi siwezi nikakwambia kama reli ya TZ ni expensive au ni cheap, mpaka unipatie hizo garama za kando!!!!! Kwa ufupi ninachosema ni kwamba garama ya ujenzi wa tz SGR bado haijulikani kiuhalisia manake bado kuna vitu muhimu hamjasema bei yake na havijahesabiwa juu ya ile iliotajwa kwa kandarasi.
Kwa upande mwengine, garama ya SGR Kenya tunayoijua inahesabu kila kitu!
Natarajia kuna angalau mmoja wenu atakua amenielewa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kama bado hamjanielewa basi naosha mkono!
Kwani hela wanatoa CCM?Ccm imeishiwa na pesa za kujenga sgr nowonder hawakumakiza by November
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini umeona Mvua inanyesha hadi January? Hata mkandarasi akijipanga vipi, hali ya hewa haitabirikiHivi kwa Nini sgr ya Tanzania haiishi??
Hii kukwama kwama inairudisha jumuiya ya Afrika Mashariki nyuma kimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha visingizio, kwani Kenya hawakujenga phase 2 yao kwa huo huo muda. Kama hela haipo ongezeeni mkopo sio vibaya bora ilipweToka lini umeona Mvua inanyesha hadi January? Hata mkandarasi akijipanga vipi, hali ya hewa haitabiriki
Phase 2A ilianzwa 2016 imekamilika 2020 na bado haitumiki kwa migizo au abiria. 130KM onlyAcha visingizio, kwani Kenya hawakujenga phase 2 yao kwa huo huo muda. Kama hela haipo ongezeeni mkopo sio vibaya bora ilipwe
I don't know what you wanted me to see there but , that document you have given is a summary of the ESIA full report which I have been using...
Hapo uko na point, ingawaje unajua sio kila mtu atafika dakika 5 kabla treni inondoke, mimi nimeshuhudia watu wengi sana wakiachwa na treni na walifika dakika kumi kabla treni iondoke, Si unajua vile tuna dili na alshabaab huku? Utapitia security check points kama nne hivi kabla uingie ndani ya stesheni, ya kwanza unaangaliwa kitambulisho au pasport kama wewe uko kenya kihalisi, ya pili unapanga mizigo kwa sakafu alafu umbwa ana nusa nusa, alafu baada ya hapo unaenda kwa ofisi ya tiketi, unatumia 'code' ulio tumiwa kwa simu wakati uli book safari kwa mpesa ussd au mtandaoni, hio code ndo unatumia ku chapisha ticketi yako kutoka kwa automated ticketing machine, alafu ndo sasa unaeenda kwa security checkpoint nyengine ambapo mizigo itafanywa x-ray scan alafu we mwenyewe utafanyiwa search juu hadi chini... pia utaambiwa utoe kitambulisho pamoja na ticketi walinganishe kama jina kwa kitambulisho na kwa tiketi linafana kwasababu hauruhusiwi kutumia ticheti ya mtu mwengine....baada ya hapo ndo unaingia mahali pa kukaa........kabla kuingia kwa treni yenyewe bado tena utaitishwa uonyeshe tena ticketi yako.... Kumbuka kama mko wengi, hio line ya security pekee itakuchukua kama 20-30 minutes! Alafu unaelewa vile waafrica tunapenda kuchelewa kwahivyo nyote mtapatana hapo kwa gate dakika ya mwisho .... Kwahivyo ili usichelewe, panga kufika kwa stesheni angalau lisaa limoja kabla.Kafrican mkuu usafiri wa train nazani huitaji kukaa muda mrefu station kama unajua time table ya train kwa nini ukae station masaa mawili yote? Nazani station kubwa zinafaa mijini amboko wanaweza kuweka ofisi na maduka kwanye hizo stations lakini station ndogo hazina tija kabisa. Yaani kama watu wakifata ratiba na train zikawa zina fanya kazi bila shida basi hamini hakuna umuhimu wowote wa stations kubwa vijijini. Ni suala la kufika station unasubilia dakika 2 unapanda train unaenda unakoenda. Kama ni kujikinga na jua au mvua basi pratform la kawaida tu linatosha na ofisi ndogo kwa ajili ya ticket, security na labda toilet
Kuchambuliwa kwa SGR ya Kenya na kina David Ndii na wenziwe ni kwasababu media ya Kenya ina Ujasiri na kuna uhuru wa wanahabari..... Hebu nionyeshe uchambuzi wowote ambao ushawahi fanywa na mwanahabari yeyote wa Tanzania, Nionyeshe Uchambuzi wowote wa reli ya Ethiopia ?????Boss, hakuna anaye pekua pekua reli ya kenya..Udhaifu wake upo wazi na wataalam wote nje na ndani ya nchi wanashaanga ujinga uliopo hapo.
Yaani SGR kenya imekuwa global example of how not to finance,build and operate a railway.
Sasa kama mlitarajia Magu ashindane na kenya kubwabwaja ute au kuvalisha nguruwe khamisi msahau sana
Now I know we have kids in here!Ccm imeishiwa na pesa za kujenga sgr nowonder hawakumakiza by November
Sent using Jamii Forums mobile app