Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #5,761
Mlipigwa bao kwa zile choo zenu za kanjo in the name of sgr stations. Kubali yaishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Dude, have you no shame???a reason unit cost of electricity is way high! And nothing to show about in comparison to Tanesco that has major projects aside HP btn Tanzania n Uganda there is one btn Tanzania n Rwanda n Burundi, about 5 Transmission lines aside JNHPP while Kinyerezi phase II n III loading!
Unaeza jaribu kujidanganya lakini hata wewe unaona, hadi hapo ilipofikia, there is Nothingimpresive about Dar station.. Sote tunajione hakuna any advanced engineering technology imetumika, jengo lote limegengwa kutumia brick and morter, hata watu wa 1600 AD wanaweza kujenga hadi hapo mlipofika.... The only thing from this century itakua tu ni pale watakapo ongeza vioo kando kandoya hilo jengo ndo likae "modern'. Lakini sisi tunao fyatilia ujenzi ambao tuliliona hilo jengo likijengwa tutajua ukiondoa hivyo vio hakuna lolote chini yake, ni gorofa la matofali tu kama majengo mengine mengi Tanzania.
Alafu umeona vile hakuna fence, baada ya kuangusha maembe, watu watakua wanapanda tuu juu ya reli waketi wakipiga story za vijiweniInakaa cheap sana,
Flat kama lami,
Passing tracks Kwa stations mbili pekee!!!!!
Before I answer your question of total area in sq m, can you give us a source of where you came up with the 13,000 sq m figure?
MY TAKE
Dar train station has a total area of 13,000 sq m.
Cargo trains will be 2 km long.
How big is Nairobi Terminus? Teargass n how long r ur cargo trains? Mind u double decker stacker r also available!
Ni uongo nature tu ya jengo lenyewe lina partition chache ground floor ni kwa ajili ya waiting lounge ya mgr huezi kuibana second floor ni kwa ajili ya mall na restaurant na third floor ni kwa ajili ya SGR waiting lounge tena hii hadi kwny roof ni vioo tu angalia huu uwaziUnaeza jaribu kujidanganya lakini hata wewe unaona, hadi hapo ilipofikia, there is Nothingimpresive about Dar station.. Sote tunajione hakuna any advanced engineering technology imetumika, jengo lote limegengwa kutumia brick and morter, hata watu wa 1600 AD wanaweza kujenga hadi hapo mlipofika.... The only thing from this century itakua tu ni pale watakapo ongeza vioo kando kandoya hilo jengo ndo likae "modern'. Lakini sisi tunao fyatilia ujenzi ambao tuliliona hilo jengo likijengwa tutajua ukiondoa hivyo vio hakuna lolote chini yake, ni gorofa la matofali tu kama majengo mengine mengi Tanzania.
Rail over rail only in Tanzania
View attachment 1340360
View attachment 1340361
View attachment 1340362View attachment 1340363
sambamba kwa urefu kiasi gani ?
Labda ile cable-stayed rail bridge ndo mnaeza mkajisifu nayo, lakini hio rai-over-rail tunayo.
Kuna sehemu nyingi ambapo SGR ya Kenya inapishana na MGR kwa daraja la kawaida, lakini kunazo sehemu zengine SGR na MGR zinaenda sambamba juu na chini hadi inabidi kujengwa daraja la aina hio iliojengwa huko Tz
Una bahati nimepoteza picha nilizokua nazo kitambo kwani zilikua zinaonyesha vizuri sana, hii nimepata mtandaoni sahii tu baada ya ku google..
hata kama ni kwa meter 20,bado ni rail-over-rail bridge!
View attachment 1341630
Kwahivyo Tanzania is not the first in the region
And speaking of firsts, Kenya tume achieve alot many firsts kwa SGR, hadi sasa hakuna nchi inafanya Double-stack containers in Africa!
Hakuna mtu alie na SGR ambayo inavuka baharini
Hakuna daraja ra reli limejengwa kutumia hanging basket technology .
eti umepoteza picha.. kwamba ulikuwa nazo wewe tu hata google hazipo?
afu ili kutupoteza umeweka vitu hata ambavyo hujaulizwa
Maneno mengi point zero, sema akuchukiae hakuchagulii tusi technology ipi wewe unataka, subiri liisheUnaeza jaribu kujidanganya lakini hata wewe unaona, hadi hapo ilipofikia, there is Nothingimpresive about Dar station.. Sote tunajione hakuna any advanced engineering technology imetumika, jengo lote limegengwa kutumia brick and morter, hata watu wa 1600 AD wanaweza kujenga hadi hapo mlipofika.... The only thing from this century itakua tu ni pale watakapo ongeza vioo kando kandoya hilo jengo ndo likae "modern'. Lakini sisi tunao fyatilia ujenzi ambao tuliliona hilo jengo likijengwa tutajua ukiondoa hivyo vio hakuna lolote chini yake, ni gorofa la matofali tu kama majengo mengine mengi Tanzania.
Hukuelewa nilichokua naongelea .... Sasa hata umenisaidia kuonyesha kile nilichokua nasema..... Mimi sikuongelea kuhusu partition wala floor ghani itatumika kwa kazi ghani....... Miminimesema hadi pale hili jengo lilipifika hakuna lolote la kushtua mtu....Ni uongo nature tu ya jengo lenyewe lina partition chache ground floor ni kwa ajili ya waiting lounge ya mgr huezi kuibana second floor ni kwa ajili ya mall na restaurant na third floor ni kwa ajili ya SGR waiting lounge tena hii hadi kwny roof ni vioo tu angalia huu uwazi View attachment 1362620
View attachment 1362629
Ofisi ni chache sana wakati wa usiku litapendeza sana is going to be shining like full moon uzuri mwingine haliko kama kabati kila floor kama inazunguka kivyake vyake.😍😍😘😘😘😘
Dar Bus Terminal will look like ur SGR Terminus! Sizewise even cladding design!Hukuelewa nilichokua naongelea .... Sasa hata umenisaidia kuonyesha kile nilichokua nasema..... Mimi sikuongelea kuhusu partition wala floor ghani itatumika kwa kazi ghani....... Miminimesema hadi pale hili jengo lilipifika hakuna lolote la kushtua mtu....
yani kwa kifupi, Ukiondoa hio frame ya nje na hivyo vioo, hilo jengo lenyewe ni jengo la kawaida kabisa 😂😂😂😂😂!!! Hivyo vyoo vimeongezewa huko kando kando kama kiini macho lakini sisi tunaofuatilia tunaona vile jengo lenyewe kabla liwekwe hivyo vioo vitakavyo ziba jengo zima , ni jengo tu la kawaida kabisa, hakuna complex architectural design, hakuna mordern materials zozote zilizotumiaka, yani hadi ile stendi mpya ya bus inayojengwa hukokwenu imeshinda hii
Kwa mfano,ukiangalia hili soko la ngong linalojengwa Kenya, hilo Jengo hapo lilipofika halina tofauti na pale Dar station imefika, Yani ni msingi, Nguzo nyingi, matofali kwa ukuta....... Hakuna complex design yoyote..... Yani ukiondoa hivyo vioo hamna lolote la kushtua chini yake.... Ama kwa upande mwengine, tukiongeza hio exoskeleton ya vioo kwa hilo soko la Ngong itakua sawa tu na station ya Dar, lakini kwavile sote tumeona hilo soko ikijengwa tutajua chini ya hivyo vyoo ni jengo la kawaida tu.
Tukitumia mfano mzuri wa huko kwenu, Tafuta picha za JNIA Terminal 3 ilipokua inajengwa, hata kabla ifanyiwe finishing ulikua unaona wazi kwamba si jengo la kawaida,kwamba ni jengo lakivyake hata kabla liwekwe vioo au kupakwa rangi... Lakini kwa Dar station tunaona ni jengo la kawaida tu bila vioo!
NI kama vile leo hii uchukue Subaru impreza model ya 2010 alafu uondoe body yake na u pimp hilo gari hadi body yake ikae kama super car, alafu mtu mwengine aje na Lamborghini ... Hata kama hio Subaru inakaa nzuri kiasi gani, sote tutajua tu kwamba haiwezani na Lamborgini manake ukiondoa hio body mpya juu ya Subaru, chini yake bado ni gari ya kitambo ambayo haitishi mtu yeyote.
If the situation was reversed you would have spent half of the year reminding every Kenyan that you meet how they were amazed at your SGR station design that they copied the design!Dar Bus Terminal will look like ur SGR Terminus! Sizewise even cladding design!
What's the problem? Both r our structures one is glass n steel n another is concrete,glass n cladding!If the situation was reversed you would have spent half of the year reminding every Kenyan that you meet how they were amazed at your SGR station design that they copied the design!
And BTW, that Dar Bus Terminal is a more complex architecture than your SGR station! You SGR stataion will be just a sheep in wearing leopard's skin, once you remove the skin its just beeeeeeeh!! beeeeeeeeh!!
Shida yake ni nini sijui hata simuelewi!!!!.What's the problem? Both r our structures one is glass n steel n another is concrete,glass n cladding!
SGR ya Kenya iko juu zaidi na bado inahitaji fence kuzulia watu na manyama wakubwa......sehem kubwa ipo elevated au chini ya normal ya land level.. mpka wanaenda huko juu au chini (if no fence) .. mfugaji hajui tu madhara ya mifugo kupanda huko juu au kushuka chini ya reli??
On Saturday, a passenger train headed to the Mariakani station hit a cow killing it instantly. According to reports, the cow managed to get on the line after elephants destroyed a section of the fence.
An official who sought anonymity said that after hitting the cow, the train only slowed down for a few seconds before proceeding with the journey. There was no visible damage on the locomotive or the line, and only a few passengers found out what had just happened.
I have no problem with your station, You could have built a mud hut for all I care, just never try to compare it with our stations, or ever try to call it the biggest (cause its not) or the most modern station in EA!What's the problem? Both r our structures one is glass n steel n another is concrete,glass n cladding!
Unaona vile hizo stesheni hata bila vioo unajua tu hio design si ya kawaida kabisa...Fuatilia Gold line Metro huko Qatar imejengwa na kina nani.