Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Safari 3 tani 12000 in Kenya and safari 1 tani 10000 in Tanzania sasa wewe ujui uchumi hapo inamaanisha gharama kuwa chini ya uendeshaji na faida kuwa juu kwa tz tofauti kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio 600 km ni sawa na Mombasa to Naivasha. Tofauti ni kwamba yetu tulishamaliza zamani kujenga ila yenu hata hamjamaliza phase one Dar mpaka Moro. Bado mpo nyuma sana Geza.
Reli yenu ni simple reli tofauti na yetu
Kenya sgr only use 2 beam
Tanzania sgr use 4 beam
Kenya sgr aijachomewa
Tanzania sgr imechomewa
Kenya sgr siyo ya umeme hivyo mfumo wake wa ujenzi auzingatii ujenzi wa mfumo kabambe wa umeme
Tanzania sgr niya umeme na mafuta hivyo inazingatia mfumo kabambe wa umeme na mafuta nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kama mmeanza nyuma yetu mbona huwa mnakimbizana na sisi? Si mkubali tu sisi tuliwatangulia na tuko mbele yenu na hamtawahi kutufikia. Kisha tuache ligi kwani mshindi ashapatikana.
Kama Tanzania tungejenga sgr kama ya Kenya sasa hivi tungekuwa tupo km860 kwasababu ya kweni ni
S = Si
G = Ga
R = Ra
Gari moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poooovuuuuuuuuuuuuuui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili muibiane vizuri.....ha haaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kumbe zile mbwembwe za kutaka kuzindua reli november, mlikua mtazindua bila ya hicho kipande..
Duh!!bangi mbaya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa!!si nynyi mlisema hamlurupuki, imekuaje tena iwe kw sasa kuna vizuizi...

Kwhyo unataka kumaanisha mtazindua reli bila ya hicho kipande mpaka hyo miradi ya upanuzi na BRT ikamilike?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…