Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #6,301
Nadhani ukiangalia vizuri kuna pillars zinajengwa zitakuja kubeba airbridges za kupandia SGR! Pili kuna milango miwili inaonekana! Itakuwa ya kupitia abiria!Jamani mwenye idea ya jinsi Dar station itakavyo ezekwa hasa ambapo abiria watasimama kupanda treni daraja la juuView attachment 1383955
Sent from Gnet Phone using JamiiForums
anaeweza kutafsiri hizi picha aelezee.. hapo chini inbetween kukoje
View attachment 1384156View attachment 1384157
Like thisView attachment 1384417
Katika hizo beam kutakuwa na platform tatu, za treni 2, ya kusimama abiria 1[emoji3][emoji123][emoji123]
Sent from Gnet Phone using JamiiForums
ila moja ya kulia kabisa ni NGR na groundfloor! Huo mstari mweusi picha ya kwanza ni paa la platform ya viaduct! Pembeni yake kulia kuna paa la platform ya narrow gauge railway ambayo ipo groundfloor!View attachment 1384417
Katika hizo beam kutakuwa na platform tatu, za treni 2, ya kusimama abiria 1[emoji3][emoji123][emoji123]
Sent from Gnet Phone using JamiiForums
lingine la ofisi litajengwa baadae!Nikiangalia original lender ya Dar Station naona majengo mawili, mbona sasa liko moja?
Sent from my iPhone using JamiiForums
itakuwa na protection barriers na kutoka na kuingia platforms itakuwa kwa kupitia airbridges ama escators ama ngazi na elevators! don't worry! Mimi hamu yangu ni kujua airia train 1 watafikiaje platform 1 ili kupanda na kushuka train 1! Kumbuka huwezi kuvuka reli kienyeji kama ilivyokuwa mwanzo unavuka kama unavuka barabara!but hio platform ya kusimama ipo juu.. kuna usalama kweli? wanaweza kusukumana then kuangushana [emoji16]
itakuwa na protection barriers na kutoka na kuingia platforms itakuwa kwa kupitia airbridges ama escators ama ngazi na elevators! don't worry! Mimi hamu yangu ni kujua airia train 1 watafikiaje platform 1 ili kupanda na kushuka train 1! Kumbuka huwezi kuvuka reli kienyeji kama ilivyokuwa mwanzo unavuka kama unavuka barabara!
Haiwezi kuwa ya spare kaka, treni ikifika Mwanza kutakuwa na mzunguko mwingi wa abiria platform moja haitatosha imagine kutakuwa na EMU kwenda Morogoro ina maana almost kila saa kutakuwapo zinaingia na kutoka, ukichanganya na za kwenda Dodoma, Tabora na Mwanza na Mikoa mingine sidhani platform moja itatosha mie nadhani kutakuwa na namna ya kuingia platform ya pili either underpass then escallator/elevator. lets see how that puzzle will be sorted out!Kawaida train 2 ipo kama spare, train 1 ndio inayokuwa active at a given time kwa ajili ya kushusha na kupakia. Abiria hawawezi na wala hawataruhisiwa kuvuka kwenda kwenye train 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezi kuwa ya spare kaka, treni ikifika Mwanza kutakuwa na mzunguko mwingi wa abiria platform moja haitatosha imagine kutakuwa na EMU kwenda Morogoro ina maana almost kila saa kutakuwapo zinaingia na kutoka, ukichanganya na za kwenda Dodoma, Tabora na Mwanza na Mikoa mingine sidhani platform moja itatosha mie adhani kutakuwa na namna ya kuingia platform ya pili either underpass then escallator/elevator. lets see how that puzzle will be sorted out!
Sio lender ni Render haya ni maneno mawili tofauti kbs.Kwenye kiswahili R na L tunazidi kuvavanga,huku kwny kingereza tutaumbuka.Mfano Rose na Lose.Makosa kama haya hubadili maana kbs.Nikiangalia original lender ya Dar Station naona majengo mawili, mbona sasa liko moja?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimejaribu kufikiri sana hapo kupata logic kwa nini kuwe na treni mbili zimepaki kwny viaduct afu moja iko redundant kulikuwa na sababu gani ya msingi ya kuzipandisha zote mbili hapo juu?!!Maana hata kuileta hiyo nyingine upande wa pili kwny platform kwa ajili ya kupakia abiria itakuwa ni ka'process.Pia hapo kutakuwa na abiria wanaowasili na kuondoka tukiwachanganya kwa wkt mmoja hata kama ni kwa muda mfupi ni mziki kdg. Mimi nafikiri zile ngazi za nje zinazoonekana kwa nje zinaweza kuwa ni kwa ajili ya outlet ya abiria wanaowasili maana they have nothing to do with Terminal Building kivile na hata kama kuna verification zinaweza fanyika juu kbs au pale chini ya ngazi kama kuna ulazima huo.Ila sasa inabidi kuwe na mazingira rafiki kwa ajili ya kupumzika abiria wanaosubiri wenyeji wao.Kuna wengine watafika usiku they need to stay longer hadi kunakucha ndo waende makwao.Ni mtazamo tu.Haiwezi kuwa ya spare kaka, treni ikifika Mwanza kutakuwa na mzunguko mwingi wa abiria platform moja haitatosha imagine kutakuwa na EMU kwenda Morogoro ina maana almost kila saa kutakuwapo zinaingia na kutoka, ukichanganya na za kwenda Dodoma, Tabora na Mwanza na Mikoa mingine sidhani platform moja itatosha mie adhani kutakuwa na namna ya kuingia platform ya pili either underpass then escallator/elevator. lets see how that puzzle will be sorted out!
kwa design ninayoiona, inakaa treni zitakazowasili abiria watatokea nje ya jengo moja kwa moja yaani exit gates zitakutoa nje kwenda parking lots au bus stand!hapa nimekupata.. ishu ya kuvuka naona kuna uweusi hapo unaunganisha viaduct na jengo.. huo uweusi labda ndo air bridge.. au zitatumika kama zile za airports
Lengo ni kublock sgr Kenya kisaikolojia hivyo umuhimu upo sana tena ni wakimikakati unajua sababu mojawapo ya magufuli kufanya sgr yetu kuwa ya umeme ni kublock ushawishi wa sgr ya Kenya sasa hapo inabidi tuweke mikakati mezani ili kuua kabisa ushindani kutoka Kenya sgrStill kwa kuangalia huu urefu sioni sababu ya kujenga Isaka Mtukula Kampala kabla ya Isaka-Keza-Kigali itakayofungua fursa za DRC! Sioni umuhimu huo ikiwa kuna ferry zinajengwa mpya! Hili mtanisamehe sioni logic yake kabla ya kujenga ya Kigali-DRC! at the moment 55% of cargo from a mining DRC comes go through Dar port! These three countries have already signed SGR agreement with us plus they have done a feasibility! Should we leave behind because of Uganda that his position is not known? Where is Uganda's agreement with Tanzania on SGR? Unless Uganda crude oil was to be transported via SGR but there is already a pipeline being worked on! The economics don't make sense for now!
See Uganda plans!
View attachment 1381510
See how Burundi, Rwanda and DRC r committed! Should we leave this aside just because of a costly Uganda's route and yet their plans for SGR r pretty different from ours?
Kwangu mimi the Uganda route should be the last to be acinstructed after routes to Burundi, DRC and Rwanda as they r more resolved and committed to central corridor! We should not leave them in despair!
Mkakati ushawekwa mzee na route za Isaka-Kigali na Isaka-Mwanza ndo zinaanza! Nyie wa Bukoba mtangoja! The Jewel in the room is eastern DRC as has numerous mining activites n 55% of their cargo uses Dar port n also Rwanda at 90% of their cargo! Uganda ambao only 10% of their cargo goes to Dar port hawako committed na SGR kutoka Tanzania na tayari kuna meli mbili na ya tatu inakuja (Budget 2020-2021) kupitia lake Victoria! Waganda wana meli mbili za kubeba mabehewa!Lengo ni kublock sgr Kenya kisaikolojia hivyo umuhimu upo sana tena ni wakimikakati unajua sababu mojawapo ya magufuli kufanya sgr yetu kuwa ya umeme ni kublock ushawishi wa sgr ya Kenya sasa hapo inabidi tuweke mikakati mezani ili kuua kabisa ushindani kutoka Kenya sgr
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wamezidi usiri! Na corona ilivyopamba sasa i hope kama Wachina washaziunda!Angalia kuanzia dakika ya 23:50 mpaka dakika ya 24 hapo ofisini kwa Kadogoda kuna scaled-down model ya bullet train, hio ni hint tu kwa vijavyo..
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha, zitakuja tu waChina wameshaanza kurudi kazini...Ila wamezidi usiri! Na corona ilivyopamba sasa i hope kama Wachina washaziunda!