Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Nchi ikifanya makosa kwenye miradi ya kimkakati uwa ni hatari sana yaan unaweza ukadondosha uchumi wa nchi, hii ndo imeitokea Kenya yaan wamejenga Reli ya zamani kwa gharama ukubwa na bora wangetimiza lengo lao kuwa Reli yao iwe ndo main link ya north corridor lakini imefeli.

Kenya wajiandae kisaikolojia tu, Miaka michache ijao Tanzania ndo itakuwa Nchi ya mfano Africa Mashariki.

Maana naona kabisa TZ inaenda kuwa Transport hub, Food Hub and Business hub of East Africa.

Msimuone Magufuli anajenga masoko ya kisasa kwenye mikoa, lengo ni kufanya kila mkoa uwe ni Business Hub to outsiders and insiders.

Ukisikiliza vizur Vision ya Wizara ya kilimo, Tanzania inaenda kulisha Africa nzima... maana kilimo kimeondolewa Urasimu mwingu kiasi kwamba ukilima na kuvuna basi umetajirika, hii imefanya watu wengi waingie kwnye kilimo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Good,you have money to erect such a structure just for pooping n yet in kibera people r languishing in suti za mabati slums/#Manuguhayanaakili
Kwhyo tulinganishe tanzania na kibera/turkana[emoji23][emoji23][emoji23]
Msijali mko mbele ya kibera na turkana tena kw mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha! Mtoa post katumia you shithole media ambayo ilisema TZ is overwhelmed by Corona,watu wanakufa 50 per day! Mkaiamini,Leo unakataa taarifa zake!? #Manugubayanaakili.
Imekua siku hzi hamkatai tena habari kutoks kw medias zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]



Sent using Jamii Forums mobile app
 


So what's so special? our MGR (70km/h) can do the same n more affordable than ur SGR! Be sure of what u r wishing it could triggger truck drivers move to central corridor if they don't accept the SGR costs! BTW From Dar/Tanga ports to Kampala the MGR does not need the SGR to MGR exchange of cargo for Uganda n South Sudan cargo! From Dar/Tanga ports to Isaka does not need SGR to MGR exchange for Rwanda, DRC n Burundi cargo. Wait and see how Central corridor will respond!

Wacheni upoyoyo


One year back










One and half year back


MY TAKE
Tanzania's central corridor offers both rail and road transportation of cargo from Dar and Tanga ports!

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
'your take' is delusional. Sgr tz haifanyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'your take' is delusional. Sgr tz haifanyi

Sent using Jamii Forums mobile app
MGR Tanzania that doesn't need a cargo transfer n speed 70 km/h will just do fine in comparison to an 80 km/h SGR from Kunyaland! Rest be assured...

200 cargo wagons getting rehabilitated by June. By February 80 cargo wagons were ready!


Here is Kwala ICD


2 years now ferry wagons going strong



#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Kweli Tumepania, ss reli hii ndo ipambane na sgr yao[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…