Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wewe vipi hizo barabara zimejengwa mbali na sio kuchukua beach kuweka lami.
Ni bahari imesogea karibu.
Hata barabara ya sasa ya Tiure imepita along coco beach . Ilipo jengwa haikula beach.
Sio sahihi kuharibu mazingira na sheria zetu zinakataza kujenga 25 metres kutoka beach.
Tatizo lenu hata Magu akikosea akifanya hujuma dhidi ya mazingira mtaunga mkono tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi beach mbili zimekuwa reclaimed ! kama unajua historia ya beach za Copa Cabana na hii ya Luanda Angola
 
SGR
Kenya vs Tanzania
*Kenya imemaliza kwa wakati
*Kenya imeanza kazi
*Kenya reli inaenda straight kwenye container terminal bandarini.
*Kenya ililenga Abiria na Bandari ndo first priority.
*Kenya bado kufikia lengo kuingia Uganda
*Kenya -Rwanda bado ni challenge

*Tanzania Tayari imechelewa kwa miezi 12...gharama zinazidi na hakuna uwazi.
*Tanzania Wazo la Awali ni Dar-Mwanza
*Tz wakabadili gear baada kina Zitto kulaumu kuwa Mwanza ni Umimi lakini hakuna tija kiuchumi
Tz ikabadili kwenda Rwanda-DRC ingawa
*Michoro iizingatia Abiria kama priority na kusahau Bandari. Hivo Yapi kwa Dar mwisho Station ya Zamani.
*Mizigo sasa baada kusahauliwa Reli ya Zamani ya Mafuta itafufuliwa mpaka Kibaha ili kuchukua Containers bandarini hadi Inland port hapo kibaha.
*Hakuna uhakika kama foleni za Malori bandarini kupungua kutokana na kosa hili.
*Main station na sub station za Tz ni za kawaida sana hazikuzingatia technologia na facilities za kisasa.
*Station bus mpya ya Dodoma tulopata msaada wa Ni ya kisasa kuliko station zote za SGR.
*Tumejenga kwa sababu nimejenga mbona wengine hawakujenga lakini miradi ya nchi sio ya binafsi bali huzingatia maslah ya Taifa kwa miaka 100 ijayo.
*Kama Daraja la Tazara halikusaidia kuondoa foleni ya malori kutoka bandarini kutokana na kujengwa kwa dhana ya "si nimwjenga daraja "
Vivo hivo daraja za Ubungo baada WB kusua sua imejengwa kwa kinyume na plan ya awali. Malori na waendao mlimani au Mandela ni mtindo wa round about chini ya madaraja.
Tumeharibu Mwendo wa kasi Ikinyesha Mvua hakuna kuingia mjini.
Daladala hazikupungua mjini zipo kama zamani tu. Adha ya usafiri ipo pale pale.
Barabara za gari za private Mwendokasi zinatumika na daladala na hazina vituo vyao husimama njiani. Vurugu tupu.
Hakuna nidhamu.
Tumekopa $400m kujenga DART na pavement za kupita Watu tumewapa machinga kuuza mitumba. Watembea muguu wana share njia na magari. Mambo ya hovyo kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huu upupu nimejaribu kuusoma nimeshindwa. Imebidi niishie njiani. Clueless.
 
Walikuwa wanasema kila cku tupo kwenye 70s% leo wameona 80% wamekaa kimya.
70% mwaka jana hyo, mwaka huu july ndio mko 80%[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani 70-80 mmechukua karibia mwaka nakwambia..nov2019-july2020
 
Mradi umeharibu madhari ya beach ya coco.
Kilo mita 2 zimekula beach area.
Wewe endelea na ujinga wako wa kusifu kila kitu.


Sent using Jamii Forums mobile app
361900-coastal-road-x-xd.jpg

Mumbai
 
Hapo kuna beach ?
Ni very simple coco beach ni public beach miaka zaidi ya 100
Wacheni ushamba coco area iko katika mpango wa jiji kuifanya sehemu ya kupumzikia na recreation
Mtu mmoja anafanya atakavo.
Hata slipway kumejengwa mpaka baharini hakuna shida hakuja beach ya public ni coral area.
Hata Golden tulip ikejengwa ni coral area.
Kinacho endelea toure drive ni uharibifu wa mazingira tu
 
Vipi bandari tuzibomoe?
Ushamba huo....kila kitu kina mipango yake.
Jiji lina mpango wake
Na DART 4 inaelekeza vipi Salender bridge itapanuliwa bila kuingia mkopo wa kujenga daraja jengine.
Pigeni makofi tu
 
Ww kweli hamnazo....nilikuona tu...nikajua naongea na akili ndogo...kwaiyo ww ndio mkandarasi siyo...?[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukweli haujifichi
Mradi phase ya mwanzo iko vipande vipande ambavo hupigwa picha kila siku.
Kati 300+ to Moro hakuna hata 50kms ziloisha kwa pamoja.
Nguzo za umeme bado kukamilika
Hakuna station yoyote ilio kwisha
Kituo kikubwa na vidogo vya Control yaani Cintrol Rooms hamna kilicho kwisha.
Hakuna hata locomotive na coach zilizo fika nchini.
Hata order ya nani atatengeneza bado...ilitoka tender tu.
Kituo kikubwa na standby generator bado
Sasa mdamdanganya nani
 
Ukweli haujifichi
Mradi phase ya mwanzo iko vipande vipande ambavo hupigwa picha kila siku.
Kati 300+ to Moro hakuna hata 50kms ziloisha kwa pamoja.
Nguzo za umeme bado kukamilika
Hakuna station yoyote ilio kwisha
Kituo kikubwa na vidogo vya Control yaani Cintrol Rooms hamna kilicho kwisha.
Hakuna hata locomotive na coach zilizo fika nchini.
Hata order ya nani atatengeneza bado...ilitoka tender tu.
Kituo kikubwa na standby generator bado
Sasa mdamdanganya nani
Ivi nikusaidie tu ili usiendele kujivunjia heshima kwanini usiende kuangalia report ya june alafu ndio uje hapa ....acha izo argument za kitot..aisee shida sana
 
Back
Top Bottom