Lakini niwa EMU sio deasel thing ....sijui nanyie mtatoa ushamba lini apo kunya land[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siyo mbaya uje hata kwajiraniUshamba enye Tanzania ni ya hali juu sana. Ni kamakila mtu Tanzania hawajaiona escalator before. Here is Nairobi SGR with the escalator on the right and stairway on the left.
View attachment 1505656
usiikimbie mada wewe ghaseer! hivi wewe hapo tandale unajua EMU inavo fanya kazi?? ulidai tz ina EMU, ebu tuonyeshe.....Pimbi moja km ww huna hadhi ya kukosoa EMU sababu hata hujui ikoje wala inafanyaj kazi stick with your mtambo wa chang'a thats your level.......cant even argue just coming with 0 brain[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382] imeumaaa usirudie na shobo pimbi ww
Hakuna kitu umeongea hapo, waturuki na nyinyi mlielewana kwamba hio project yenu ya reli ya umeme itachukua mda flani..... (mkielewana ilikua mnajua vizuri kabisa kwamba ni nini kinahitajika kukamilisha hio project).... Alafu baada ya kuelewana, contactor anashinda akiongeza mda wa kumaliza kila siku.... Afadhali hata uniambie pesa za kumlipa mturuki zilichelewa kuliko uniambie eti sijui technology, umeme....blah blah blah kwani Yepi hawajui reli ya umeme inajengwaje ndo maana wakachanganyikiwa kusema itachukua mda gani kumaliza project?Nyie hamjawahi kujenga reli ya umeme so hamjui inachukua mda gn kuwa finished wala hamjui ni vitu gani vinahusika kujenga hyo reli, zaidi mnafanya kuckia tu, mnasema reli yenu imechukua mda fupi ndiyo lazima ichukue mda mfupi cz ni sawa na MGR yetu tushamaliza kuifanyia rehabilitation.
So ipo escalator moja tu Nairobi terminus?Ushamba enye iko Tanzania ni ya hali juu sana. Ni kamakila mtu Tanzania hawajaiona escalator before. Here is Nairobi SGR with the escalator on the right and stairway on the left.
View attachment 1505656
So you wanted all the escalators in ground floor and and one side? Hizi sasa ndizo ujinga ndio naongelea.So ipo escalator moja tu Nairobi terminus?
Bro...these the same guys that have an opening ceremony for an elevator. Cut them some slackUshamba enye iko Tanzania ni ya hali juu sana. Ni kamakila mtu Tanzania hawajaiona escalator before. Here is Nairobi SGR with the escalator on the right and stairway on the left.
View attachment 1505656
Hua wako na ushindani wa kitoto sana, ngoja utaona next itakua wanauliza arrangement ya viti ndani ya jengo, au air condition vents zetu ni ngapi?So you wanted all the escalators in ground floor and and one side? Hizi sasa ndizo ujinga ndio naongelea.
Kwn shida nn? Watu c wanajenga au wamesimama? Hata ikichukua miaka 10 tatizo nn? C inajengwa? Huwezi epuka ukweli kwamba Tz inajenga treni ya umeme au hujui ilo kwamba tunajenga treni ya umeme [emoji3][emoji3]Hakuna kitu umeongea hapo, waturuki na nyinyi mlielewana kwamba hio project yenu ya reli ya umeme itachukua mda flani..... (mkielewana ilikua mnajua vizuri kabisa kwamba ni nini kinahitajika kukamilisha hio project).... Alafu baada ya kuelewana, contactor anashinda akiongeza mda wa kumaliza kila siku.... Afadhali hata uniambie pesa za kumlipa mturuki zilichelewa kuliko uniambie eti sijui technology, umeme....blah blah blah kwani Yepi hawajui reli ya umeme inajengwaje ndo maana wakachanganyikiwa kusema itachukua mda gani kumaliza project?
Nimesha kwambia ww ni pimbi na hamnazo unafikiri hapa itapita iyo takataka yenu ya gari moshi...kichwa box[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikukimbie kwa fact gani ulizo nazo...km maengineer wenu tu wanawek nguzo katikati y barabara vipi ww pimbi toka pale kibera utafany nn zaid y kuza barakoa zilizo tumika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]usiikimbie mada wewe ghaseer! hivi wewe hapo tandale unajua EMU inavo fanya kazi?? ulidai tz ina EMU, ebu tuonyeshe.....
hapa hakuna mapambio ya kipumbavu. watanzania mmejaza meffi kichwani.
Escalator yenyewe mbona gofu!??Ushamba enye iko Tanzania ni ya hali juu sana. Ni kamakila mtu Tanzania hawajaiona escalator before. Here is Nairobi SGR with the escalator on the right and stairway on the left.
View attachment 1505656
Shida ni kwamba mnajaribu kujitetea kwa kuchelewa kumaliza ujenzi, kubalini tu kwamba Yepi kaogelea nje ya beseni. SGR ya umeme si mara ya Kwanza kujengwa, Ethiopia wamejenga na walimaliza ndani ya mda ulioekwa, Kuna nchi nyengine kadhaa za Africa ambazo pia zimejenga ya umeme na hazikupitisha mda, So treni ya umeme sio issue!Kwn shida nn? Watu c wanajenga au wamesimama? Hata ikichukua miaka 10 tatizo nn? C inajengwa? Huwezi epuka ukweli kwamba Tz inajenga treni ya umeme au hujui ilo kwamba tunajenga treni ya umeme [emoji3][emoji3]
Heheheheheeee usisahau kwamba sgr yetu itakuwa the longest one.Shida ni kwamba mnajaribu kujitetea kwa kuchelewa kumaliza ujenzi, kubalini tu kwamba Yepi kaogelea nje ya beseni. SGR ya umeme si mara ya Kwanza kujengwa, Ethiopia wamejenga na walimaliza ndani ya mda ulioekwa, Kuna nchi nyengine kadhaa za Africa ambazo pia zimejenga ya umeme na hazikupitisha mda, So treni ya umeme sio issue!
Natumai umejikinga sawasawa maana watakupura mawe wanalumumba kwa kuwauliza maswali. kuna kilaza amedai wanamiliki EMU lakini kashindwa kutuwekea picha Justinr sasa anasingizia kibera.Wapambe Mpoooo
Hebu tupeni tentative date lini Dar- Moro tutaanza safari.
Tukumbuke tupo 10 months behind.
Na tutaingia lini port ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunaongelea kuhusu your first 205km, huko kwengine tuachie siku nyengineHeheheheheeee usisahau kwamba sgr yetu itakuwa the longest one.
Mwingine aliniambia asubuhi kuwa Tanzania ni wajanja juu wameweka escalators kwa station yao π π πHua wako na ushindani wa kitoto sana, ngoja utaona next itakua wanauliza arrangement ya viti ndani ya jengo, au air condition vents zetu ni ngapi?