Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Uko Wrong, Wale Wanaofnya Biashara Kwenye Pavement za waenda Kwa Miguu Wanalipa Kodi Aisee, Wana Vitambulisho vya Ujasiliamali Wale na Kmbuka Wale ni Watanzania Km Ww
 
Uko Wrong, Wale Wanaofnya Biashara Kwenye Pavement za waenda Kwa Miguu Wanalipa Kodi Aisee, Wana Vitambulisho vya Ujasiliamali Wale na Kmbuka Wale ni Watanzania Km Ww
Hujamuelewa jamaa... kwani pavement walojengewa ni machinga au waenda kwa miguu?
Huwezi kujenga hospitali alafu ukaitumia kama ofisi za chama kwamba na wao ni watanzania kama wewe.
 
Hujamuelewa jamaa... kwani pavement walojengewa ni machinga au waenda kwa miguu?
Huwezi kujenga hospitali alafu ukaitumia kama ofisi za chama kwamba na wao ni watanzania kama wewe.
Mkuu ungeenjoy kukuona kina mama hawajui wapate wapi riziki kisa pave n ya wa miguu?
Hospital ikiwa haina watu cuf wanaweza kodi kwa shuhuli zao maana hospital si majengo ni huduma tukiondoa huduma na watoa huduma panafaa kuwa ofisi ila kwani bila ofisi za chama kuna mtu atapata tatizo la ukwasi wa pesa?
Wamachinga wanaharibu utaratibu ila ni vyema tujue kwanza tanzania iko katika mfumuko population yetu kubwa imeaanza kuingia kwenye uzalishaji hivyo hata mifumo ya zamani haiwezi beba idadi ya watu wanaoanza ishu ndogo ndio maana nadhani gvt inajenga masoko mengi ili wawe accommodated ndio nazani itakuwa time nzury ya kuwapunguza

Ila kuthaminisha pave za mguu over them ni upungufu wa maarifa let them fight tukiwaza utaratibu na ujue hao wa kwenye pave leo ndio watamultply millionaires in the future
 
Kudhania sidewalk sio muhimu ni sawa na kusema parking haina haja!
Mitazamo kama yako ndo inayorudisha Africa nyuma. Badala ya kuplan miaka 50 hadi 100 mbele, tunabaki kureact na hali iliopo. Mfumuko wa population sio jambo ngeni, kila baada ya miaka 10 tunahesabiwa. kwaiyo trend inafahamika, huwezi tena ukaja na hiyo kama excuse ya failure.
 
Okay
 
mkuu mnapishana sehemu ndogo sana ....kwa kawaida kiuhalisia si kama wamachinga wanapingwa ila lazima utaratibu ufuatwe na tutengeneze mazingira rafiki ya wafanyabiashara wadogo wadodogo na tuwatoe ulimbukeni wamachinga kwa kukariri kuwa biashara ipo barabarani/pembezoni mwa barabara pekee....
Hii dhana imewaathiri wamachinga wengi sana kiasi cha kwamba huwa hawafikirii extra mile ya mbinu za kibiashara zaidi ,mfano mmachinga ukimjengea soko huwa anagoma nakusema kuwa wateja wake ni wale wanaopita njiani yaani wateja wasio na mihadi yaani plan ya kununua kitu ama vitu na ndiyo maana ukiwapa fursa wanaziba hadi vituplo vya daladala bila kujali usalama wao..

kwa kweli hii hali si nzuri ni hatarishi na inaharibu sura ya jiji,,na kamwe hali ya kuongezeka kwa wamachinga huwa haipungui bali huongezeka mara dufu kadri miaka inavyosonga ,tusipoithibiti hii hali nakuambia majiji yetu yatatapakaa vibanda pembezoni mwa barabara kuanzia kariakoo hadi kibaha,kariakoo hadi mbagala,kariakoo hadi sinza,kariakoo hadi temeke,kariakoo hadi gongo la mboto nasehemu nyinginezo mwisho wa siku itakuwa haina maana kuwa na miundo mbinu bora....

wamachinga hawapungui bali huongezeka tena kwa speed ya hatari watu wameamka...ni kuwatengenezea tu mazingira na si kutapakaa vibanda kila kona haileti picha nzuri
 
Ndio maana nkalike post yake ili aewelewe simpingi sema kaongea direct na my comment was bit short kuna vitu siku elaborate vizury ila tuko na same meaning
[emoji1364]
 
Mbona article ya Wikipedia inasema Tanzania tayari imesha-order 6 stadler locomotives. Means sio EMU, yani ni locomotive + carriages (mabehewa) kama kama ile ya Kenya na Ethiopia. Though it’s not officially anounced. Je kuna ukweli wowote kuhusu hili?

Kama itakuwa kweli basi tutakuwa tumezingua kinyama.
 
Km hz au[emoji116][emoji116]
 
Hzo ni EMU pia ni za mizigo hizo but za abiria ilisemekana ni km hz [emoji116][emoji116]View attachment 1527864

MU ni tofauti na locomotive mkuu, japo zote zinaweza kuwa electric powered.

MU engines zinakuwa kwny train yenyewe, yani haihitaji locomotive (kichwa) kujiendesha. MU trains inaweza kuwa electric (EMU), diesel (DMU), electro-diesel (EDMU), etc. Mfano hiyo uliyoweka ni MU.





Na Locomotive ni kichwa cha train ambacho kinakuwa na engines. Unaunganisha na mabehewa ambayo yatavutwa na locomotive. Locomotive pia inaweza kuwa electric powered, diesel powered, etc. Inaweza pia kuunganishwa mabehewa ya abiria au ya mizigo. Mfano ile ya Kenya ni diesel locomotive na sio DMU.




Ila kwa upande wa trc ndo jamaa wamesema wameagiza 6 locos, 3 za mizigo na 3 za abiria. Sema chanzo ndo sio cha uhakika.
 
Nimekupata mkuu, lkn mbn hyo stadler iko poa tu haifanani kabisa na ile ya Ethiopia, pia hyo inasemekana ni kwa ajili ya mizigo ila kwa abiria wanasema zinakuja km hyo nliyokuwekea ambayo pia inatunza chaji kwa masaa flani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…