Tuppo kujadili SGR Kenya vs SGR Magufuli hivo ondoa povu jibu hoja.Hivi huwa mnakuwa mmetumia vitu gani kabla ya kupost upupu humu. Hivi wewe uliyekaa nyuma ya keypad au keyboard unaweza kuwa unajua kuhusu mahitaji ya station kuliko akina Kadogosa siyo. Hii kitu ndiyo sababu hata Jamaica hukataza.
Wewe ungefanyaje ili isiwe ujinga?Fool it is you.
Kuvunja jengo la kihistoria unaona ni sawa ni kukataa ubeberu ila kutumia treni ya beberu pia sawa
Basi ngoeni yote kama huko ujerumani.
Juzi Arusha mkakusanya watu mitaani kufufuka reli ya beberu.
Yaani ujinga mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili nyingi mbele kiza. Pia werevu mwingi huondoa maarifa. Wahenga waliponena haya walilenga watu kama wewe. Fungua akili uwe mwepesi kuelewa. Ukijifanya unajua kila kitu utaendelea kuwa hivyo hivyo. Wabongo wazungu huwaita watu kama nyinyi "much know".Unakaa Dar au uko wapi wewe ?
Umeshawahi kufika stesheni wakati treni ikiondoka au kufika?
Barabara yote ya Sokoine/Kilwa una freeze kutokana na abiria na harakati za mizigo.
Sasa hii treni inatarajiwa kuwa na abiria wengi zaidi ikikaamika. unafikiri itakuaje pale ikileta abiria 3000 kuanzia mwanza ?
Kuna siku niliganda saa nzima kusubiri magari yapungue kuchukua abiria.
Na wengine humu wanasema Reli ya kati itaendelea kutumia kituo hiki hii ina maana Foleni ya Kilwa road niya kudumu.
Kuna wengine wanasema mbona ulaya treni zinaingia mjini ?
Hizo ni metro na husimama vituo vingi na sehemu kubwa ni underground.
Treni ya masafa marefu mfano tube haisimami katikati ya london.
Kuileta Sgr katikati ya jiji ni strategic mistake. Wajerumani walejenga pale sababu reli ikitumiwa sana na wao wenyewe na goverment officials pamoja na wahindi waliokua wakikaa mjini.
Leo hali imebadilika wakaazi wa mjini huku sio watumiaji treni ya zamani hata hii Sgr.
So why uwalete huku uhindini ?
Na ni kutokua na uwezo wa kufikiria future...ni mkurupuko.
Kwani Mwalimu alipo jenga Tazara main station pale ilipo hakuiona hii station ya sasa.
Mbona hakusema tupunguze gharama tuikarabati stesheni ya mjerumani ?
Kwanza kuvunja tu lile jengo la kihistoria ni upunguwani kinyume cha sheria ya mambo ya kale.
Jengo lenye historia ya treni Tanganyika unaenda kulivunja na kujenga fremu za vioo !
Nchi haiwezi kujengwa na mawazo ya mtu mmoja asiejua historia asiejua thamani ya vitu vya kale. Ni eneo la utalii kwa wajerumani.
Kuna jamaa alisema ukitaka kujua historia ya Tanganyika nenda Museum za Ujerumani, UK , Ureno na Oman.
Na mwengine alisema asie thamini historia yake ni mtumwa
Upumbavu in Mkapa words
Sent using Jamii Forums mobile app
Asipokuelewa na hapo basi itabidi uanze kum-ignore....Akili nyingi mbele kiza. Pia werevu mwingi huondoa maarifa. Wahenga waliponena haya walilenga watu kama wewe. Fungua akili uwe mwepesi kuelewa. Ukijifanya unajua kila kitu utaendelea kuwa hivyo hivyo. Wabongo wazungu huwaita watu kama nyinyi "much know".
Tofauti mojawapo kubwa baina ya hii treni ya umeme (EMU) na hizo garimoshi zinazotumika itakuwa frequency. Kwa mfano: Kwa mujibu wa TRC ni kwamba wanapanga Dar - Moro iwe na safari 6 - 12 kwa kwa siku iende irudi.
Sasa unajua kwa sasa hiyo treni ya dieseli inafanya tripu ngapi kwa wiki (maana siyo siku tena) baina ya vituo hivyo? Hii ina tafsiri ya kwamba treni itakuwa ikibeba abiria wachache wachache lakini kwa awamu nyingi. Ndiyo sababu vituo vidogo vya njiani vimekuwa designed kuhudumia wasafiri 80 tu kwa wakati mmoja. Arobaini waendaji na arobaini wengine washukaji.
Hivyo sahau kuhusu hizi nyomi zinazokuwapo stesheni siku treni inatimba Dar toka K Town au Rock City ikiwa na abiria waliojikusanya kwa siku tatu wakiisubiri. EMU zitakuwa na "behewa" 5 -8 tu mjomba.
Nimejitahidi kukuelewesha kuhusu dhana mojawapo ya zile zinazoelezea tija ya chombo cha usafiri, frequency. Tofauti zingine ni kuhusiana na mwendokasi (speed) na kuaminika (reliability). Kama hujaelewa hapo mzazi itabidi tu uende pale taasisi ya usafirishaji (NIT) ukapate shule kuhusiana na hizi kitu.
Weka picha wacha maneno.Kando ya esigiara heri Kibera [emoji23][emoji23]
Mtatuletea mambo ya chenob..acheni tuWengine wakikwama esigiara 100km wengine wako Nuclear mode.
There's levels to this shit[emoji23]View attachment 1542066
Tuta tuta tutaWengine wakikwama esigiara 100km wengine wako Nuclear mode.
There's levels to this shit[emoji23]View attachment 1542066
Looking at catenary poles na upana wake inaonekana hapa station hii viaduct itakuwa na platforms mbili yaani two lines!
Hapa ni southEast Lagos?πππ
Ndiyo maana ya maendeleo hiyo, hapo hayo majengo ambayo kwa mbali yanaonekana hovyo kutokana na kutokuwa na mpangilio mzuri wkt ni majengo ya hadhi yake yatatoka yote hayo.Hapa ni southEast Lagos?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mtu normal anaweza ishi hapo,Ndiyo maana ya maendeleo hiyo, hapo hayo majengo ambayo kwa mbali yanaonekana hovyo kutokana na kutokuwa na mpangilio mzuri wkt ni majengo ya hadhi yake yatatoka yote hayo.
Nakweli hapo ni town so mtu normal hupawezi hapo.Hakuna mtu normal anaweza ishi hapo,
Kibera like structures.
Usiulize Swali la kijinga kama hili. Hao ma engineer na planners ni binadam na wanaweza kukosea au ku-overlook vitu flani. Mtu kuhoji haimaanishi anajua zaidiHivi huwa mnakuwa mmetumia vitu gani kabla ya kupost upupu humu. Hivi wewe uliyekaa nyuma ya keypad au keyboard unaweza kuwa unajua kuhusu mahitaji ya station kuliko akina Kadogosa siyo. Hii kitu ndiyo sababu hata Jamaica hukataza.
Na hii hapa ndio ID yake ya kikunya,Na nyie mna sifu tu miradi mikubwa kufanywa hovyo.
Vision hii inakamilishwa hovyo bila kuzingatia hali halisi na mahitaji.
Sasa wewe unaona hio main station ilo jibana kutumika kwa reli mbili ni sawa?
Mmeona Mjerumani kaipeleka hapo na nyinyi mkaona ndio hapo hapo inafaa kufanya stesheni kuu ?
Reli mpya muhimu lakini sio kujenga kwa utashi wa mtu mmoja.
Tutaendelea kusema na kukosoa kuwa mradi unatekelezwa hovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo juu alikuwa anabishana kupitia ID yake anayojifanya Mtanzania na reply ya chini yake ametumia ID ya kikunya badala atumie ile ya anayojifanya Mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23]Usiulize Swali la kijinga kama hili. Hao ma engineer na planners ni binadam na wanaweza kukosea au ku-overlook vitu flani. Mtu kuhoji haimaanishi anajua zaidi
[emoji3][emoji3][emoji3]@EZZ CHEZZ alikuwa anampiga sindano kwenye ID ya kwanza halafu akajisahau akaja kujibu kwenye ID yake ya kikunya.
Kutofautiana hoja siyo tatizo mkuu. Tatizo linakuja kwenye presentation ya data/facts. Hapo kuendelea kusikiliza mtu anayepotosha haiwezekani. It's either mtu analeta facts au awe mpole aulize. Kupotosha hapana.Si lazma muwe na same thinking.
Kila mtu ako na uhuru ya kutoa points zake.
Na ujue points zako si the best,kila mtu asikizwe.