Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hapo fedha ya mauzo ya gesi kwa Uganda haijajumuishwa na pia kuna hili! GoT pia inataka kuchukua 25% ya refinery Uganda 👇

Tanzania to acquire 25% of EACOP as Oil firms set deadline for FID

Yote yakitekelezeka Tanzania itakuwa inapata si chini ya $1.5 bln kwa mwaka!
 
Kwa akili yako nchi ni rail pekee?
KunA vitu mob sana mnafaa kufanya before mukaribie kuwa upper middle class,
Shida yenu mko over ambitious.
 
Kwa akili yako nchi ni rail pekee?
KunA vitu mob sana mnafaa kufanya before mukaribie kuwa upper middle class,
Shida yenu mko over ambitious.
Lazima tuwe over ambitious cz vitu tunafanya this time hakuna nchi inafanya ukanda huu.
 
Kwa akili yako nchi ni rail pekee?
KunA vitu mob sana mnafaa kufanya before mukaribie kuwa upper middle class,
Shida yenu mko over ambitious.
since when is Kunyaland upper middle income?
 
Double stack hyo, mwanaume mashine we unadharau sura wakati huo dume anakubebea juu chini mombasa nairobi trip za kuhesabu kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]

Lenu mlinunua kalipakeni poda basi
Inabeb double stack ikiw haina mzigo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] an upgrade bongo MGR.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ya machakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…