Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hii station mbona inatosha kabisa kwa idadi ya watu wa Morogoro ukubwa wake sidhani kama inapungua 8000 sq m!
 



Live from SGR station




















The story behind
Mkurugenzi wa TRC anasikika akiwahakikishia Waandishi wa Habari na Wasanii unafuu wa gharama za uendeshaji! Anasema "kwa umbali mmoja gharama ya treni ya umeme ni 1/3 ya treni inayotumia diesel!".
 
Noma sana. Ila nakumbuka mwanzo tuliambiwa kuwa traki nzima itakuwa fenced. Sasa sijui wamekubaliana vinginevyo au vipi.
Kwani kama fence itawekwa hapo au mwanzo na baada ya mlima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…