Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hapa ndipo treni ya umeme itasimamia yn mtu anatoka Dar asubuhi anawahi kunywa chai Morogoro af anarudi Dar kula chakula cha mchana bila kuchoka yn kitu hakina mtikisiko km ndege vile.

Tz bhn inatisha sana kimkakati, kule kwenye usafiri wa mabasi yamewekwa mastendi makubwa makubwa yenye kuzd mpk airport za nchi jirani cz watu wanakuwa wamechoka sn ila hz stesheni za sgr ni ndogo ndogo tena modern kabisa cz hazitaruhusu msongamano kabisa, wallahi watu waje wasome Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii station mbona inatosha kabisa kwa idadi ya watu wa Morogoro ukubwa wake sidhani kama inapungua 8000 sq m!
 
Wooshiiiii naona nyaya hapo.

Cc Teargass asvptx Edward Wanjala Yule-Msee NairobiWalker pingli-nywee Nicxie komora096 At254 Mashashola Magix Enga mwaswast MK254 Tony254

Angalia nyaya hzo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]



Live from SGR station









EkcI6fAX0AErX1w



EkcJAs6XYAIkCt1



EkcJG8gX0AAAlxk


EkcJLlPW0AEnmG3





The story behind
Mkurugenzi wa TRC anasikika akiwahakikishia Waandishi wa Habari na Wasanii unafuu wa gharama za uendeshaji! Anasema "kwa umbali mmoja gharama ya treni ya umeme ni 1/3 ya treni inayotumia diesel!".
 
Back
Top Bottom