Wasio wazalendo utawaona kwa maneno na mienendo yao huwa wanapinga hata kilichochema machoni pao😎😎😎🙄🙄
Renders zimeshatoka ama bado? ningependa kuzionaSOGA CAMP
duh hako ni kakambi,kwani ni mradi wa nyumba za mabati😀SOGA CAMP
Angalia kule in the background work in progress na ni eneo kubwa sana, angalia vizuri.duh hako ni kakambi,kwani ni mradi wa nyumba za mabati😀
Renders zimeshatoka ama bado? ningependa kuziona