Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

operations are starting to gear up
freight services to officially begin by January

21557649_10203445585216960_1834631427035336066_n.jpg

24862655_10214562870043356_6224572006058197253_n.jpg
19148926_10212257330283776_7411519880093182792_n.jpg
23795724_10210749411717337_4723653248979516119_n.jpg
18012156_423031758058419_7818719535501934592_n.jpg
 
BTW hivyo vichwa hapo juu si vya treni ya mizigo
 
Ni hao wakenya wameongeza cha juu, ndio maana hata bajeti yao ni uozo maana hela nyingi huishia mifukoni mwa mbwa mwitu. Hawa jamaa ni majanga!
tofauti ya rushwa ya Kenya na Tanzania, ilielezwa na rais nyerere, alisema Tanzania wanakula rushwa halafu kazi haifanyiki, Kenya wanakula rushwa, I promise you hujaiona hii reli, nzuri naa inafanya kazi, kwa hiyo shut up
 
tofauti ya rushwa ya Kenya na Tanzania, ilielezwa na rais nyerere, alisema Tanzania wanakula rushwa halafu kazi haifanyiki, Kenya wanakula rushwa, I promise you hujaiona hii reli, nzuri naa inafanya kazi, kwa hiyo shut up
Acha kumsingizia Nyerere kwenye mambo ya upumbavu!
 
Ujenzi wa Daraja la SGR line kwenda directly ndani ya bandari mpya ya Mombasa iliojengewa ndani ya bahari..

No title(76).jpg
No title(77).jpg
No title(78).jpg
 
Meanwhile, phase 2A kuelekea naivasha inazidi kusonga, timeline yao imepunguzwa na mwaka mmoja na nusu kwahivyo hakuna kupoteza masaa.

No title(79).jpg
No title(80).jpg

Wananchi wote wanaofaa kulipwa fidia ya ardhi itakayotumika wameshatambuliwa wote sasa kilichobaki ni shughuli ya kulipa na kuwaondoa
 
Naomba Tanzania tusje nakelele za nusu bei tukatengeza reli enye expansion joints kaa hostel za udsm
 
Naona mandugu zetu Tanzania wakililia kwa choo. HHizo hela za project hamna na tender ya electric train mshaifloat.
 
Back
Top Bottom