Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

ile ya dar imeishia wapi. kulikuwa na routes 5 nahisi.
 


MY TAKE
Hapa Kadogosa anapaswa kuwajibika! Mvua inapinyesha ukaguzi ni lazma kabla treni haijapita! Haiwezekani upotevu wa maisha na uharibufu wa mali za TRC uendelee hivi!
 
ile ya dar imeishia wapi. kulikuwa na routes 5 nahisi.
Feasibility study ishafanywa na kampuni moja ya Sauzi 266km. Kilichobaki ni utekelezaji. Mradi umelenga 2035 na unahitaji pesa mingi maana Kadogosa alidokeza kuwa njia nzima yaweza kuwa viaduct! Hivyo inatakiwa kujipanga vizuri.
 

China yajitosa ujenzi wa reli ya SGR​



WEDNESDAY JANUARY 06 2021​


Summary

  • Waziri Kabudi amesema Waziri Wang Yi atakuwa na mazungumzo binafsi na Rais Magufuli na mazungumzo na ujumbe wa Serikali.

By REHEMA MATOWO
More by this Author

Chato. Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya China, Wang Yi anatarajiwa kutua nchini Tanzania kesho Januari 7, ambapo pamoja na mambo mengine atashuhudia utiaji saini mkataba wa ujenzi wa awamu ya tano ya reli ya kisasa (SGR) inayotoka Mwanza hadi Isaka yenye urefu wa kilometa 341.

Kwa sasa ujenzi wa reli hiyo kutoka Dares Salaam hadi Mwanza unatekelezwa na kampuni ya Yapi Merkezi.

Akizungumza na waandishi wa habari wilayani Chato leo Januari 6, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi amesema awamu hiyo ya ujenzi itagharimiwa na Serikali ya Tanzania kwa jumla ya Sh3.0617trillion na itajengwa na kampuni mbili kutoka nchini China.

Pia, Profesa Kabudi amesema Waziri huyo atakayetua katika uwanja wa ndege wa Chato Januari 7 jioni, atafanya mazungumzo na Rais John Magufuli na kuzindua chuo cha ufundi wilayani Chato na kutembelea mwalo wa ziwa Victoria wilayani humo kuangalia shughuli za uvuvi.

Amesema Waziri Wang Yi yupo kwenye ziara ya siku tano katika bara la Afrika ambapo kwa Tanzania atakuwepo kwa siku mbili akishiriki mazungumzo binafsi na Rais John Magufuli kisha kufanya mazungumzo rasmi ya kiserikali ya yeye na ujumbe wake.

 

SGR on the agenda as Chinese foreign minister visits Tanzania​



WEDNESDAY JANUARY 06 2021​


Tanzania's foreign minister Palamagamba Kabudi PHOTO| FILE

Summary

The visit is part Mr Wang’s five-day tour of Africa, during his stay in Tanzania he will hold talks, privately, with President John Magufuli.
ADVERTISEMENT


By The Citizen Reporter
More by this Author

Chato. Chinese State Councilor and Foreign Minister Wang Yi is expecting to pay a two-day visit in Tanzania to strengthen political and economic bilateral relations between the two countries.

Tanzania's foreign affairs minister Prof Palamagamba Kabudi said in Chato today, January 6, 2021 that Mr Wang will land at Geita-Chato airport on January 7, 2021 and will stay in the country until January 8, 2021.

The visit is part Mr Wang’s five-day tour of Africa, during his stay in Tanzania he will hold talks, privately, with President John Magufuli.

Mr Wang with his delegation from China will also hold official talks with Tanzanian government led by the minister of foreign affairs and his team.

“During his stay, Mr Wang will launch a Vocational Education and Training Authority (Veta) college in Chato District as well as visiting fishing areas on Lake Victoria,” Prof Kabudi said.

Mr Wang will also witness the signing of a contract for the construction of the fifth phase of the Standard Gauge Railway (SGR) railway from Mwanza to Isaka with a length of 341 km.

Prof Kabudi said the fifth lot construction of the SGR will cost Sh 3.00617 trillion and will be implemented by two Chinese companies.

He, however, did not name the Chinese companies that are set to carry out the construction work.

 
Chuma hakina Masihara kabisa...by 2025 atakua kakimaliza kipande chote cha Dar mpaka Mwanza.
 
Itakuwa ni maajabu sn kwakweli, ten years electric sgr from Dar to Mwanza, si mchezo.
nakumbuka niliwaambiaga majirani kutangulia si kufika kwenye ujenzi wa SGR imagine tunaenda kusainisha mkataba wa SGR phase III lot 5 huku mafalamanga alias mapopoma yakishindwa kuendelea na ujenzi!

CC: Tony254 poleni sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…