Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Fuel tanks

Wanafunzi wapata pindi on field.

Extra on dongo-kundu
 
Mambo

ya WaTanzania nitayasadiki nikiyaona but for now I will confidently say it is a WHITE ELEPHANT.😀😀😀😀😛😛😀🙄
Naona hii ya kwenu wachina wanaimiliki kama ilivyo, Kuanzia yule Dereva hadi makonda,
Nyie mmebaki kupiga picha tu
 
Nimependa wafanyazi wa treni zao wanahama na mabegi ya uchina aina ya omiga nyumbani maana wanajua gari lao moshi la makaa ya mawe sehemu ambao watz tunatumia masaa 8 wao siku 3 na wenzao huku mtu ataingia na traki asbh mchana anaivulia nyumbani.
 
mchina alipoamua kuwafanya vibaya zaidi wakenya kawaletea treni milango mifupi midogo size ya kupita wachina mwenyewe,kama ni dereva wa treni hizo jiandae kujikondesha upate ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…