BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
Karibu locomotive zote za mizigo duniani ziko ivoMlichopatia ni Architectural design tu,lakini locomotive, mlipigwa bandugu
Weka mojaKaribu locomotive zote za mizigo duniani ziko ivo
indeed i can see TibimThe First T-Beam of section 2A (Nairobi - Naivasha)
Naona hii ya kwenu wachina wanaimiliki kama ilivyo, Kuanzia yule Dereva hadi makonda,
Nyie mmebaki kupiga picha tu
View attachment 621948
tofauti ya rushwa ya Kenya na Tanzania, ilielezwa na rais nyerere, alisema Tanzania wanakula rushwa halafu kazi haifanyiki, Kenya wanakula rushwa, I promise you hujaiona hii reli, nzuri naa inafanya kazi, kwa hiyo shut upNi hao wakenya wameongeza cha juu, ndio maana hata bajeti yao ni uozo maana hela nyingi huishia mifukoni mwa mbwa mwitu. Hawa jamaa ni majanga!
Acha kumsingizia Nyerere kwenye mambo ya upumbavu!tofauti ya rushwa ya Kenya na Tanzania, ilielezwa na rais nyerere, alisema Tanzania wanakula rushwa halafu kazi haifanyiki, Kenya wanakula rushwa, I promise you hujaiona hii reli, nzuri naa inafanya kazi, kwa hiyo shut up
Mlichopatia ni Architectural design tu,lakini locomotive, mlipigwa bandugu
Hehehe... Na najua saa hii umeketi vijiweni ukinywa supu ya Pweza......