Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hamjambo humu ? SGR Dar-Moro tunafungua lini ?
Waluguru tunamengojea sana .
Tupo nyuma miaka miwili sasa au ndo Mvua [emoji41][emoji41]
Gharama zinapanda na hakuna anaejua
 
20210225_211918.jpg
 
View attachment 1711889

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mchina ana balaa .. atakavyowakamua [emoji1438]‍♂️
1. deni la SGR
2. kuitawala ile express for 27 fcking years [emoji22]
 
Hamjambo humu ? SGR Dar-Moro tunafungua lini ?
Waluguru tunamengojea sana .
Tupo nyuma miaka miwili sasa au ndo Mvua [emoji41][emoji41]
Gharama zinapanda na hakuna anaejua
tupo nyuma 1yr kasoro ivi ,,,,mwaka huu tunamaliza shughuli kwani sehemu zilizobakia ni chache
 
Back
Top Bottom