walitaka uchimbe hapo chini kidogo kisha ujaze kifusi uweke kadaraja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipe tofauti ya hizo picha mbili japo kwa macho hiyo ya chini iko poa zaidi.View attachment 1736613View attachment 1736614
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, mimi sio MATAGA but I like the slogan, however hakuna kilichobadilika, huyu mama Samia ni ruthless kuliko hata JPM, time will tell...Mataga hamjambo ? Tupoe na msiba.
Sasa lini tunafika Moro na kuanza kazi ?
Hivi Bandarini mtapitia njia gani ?
Sasa SGR chini ya Mama Samia itajengwa kwa kuwashirikisha Watanzania kama wa miliki kwa kuwauzia shares.
Mambo ya kujenga SGR kwa faini za magari hatufiki na kila jengo linapunguzwa ku save.
Mataga mpooo
Hakuna ujenzi utakao kufa chini ya SSH..Kiufupi miradi itaenda kwa speed zaidi kwa kipindi hiki kuliko kipindi cha JPM. Pia mtegemee kuanzishwa kwa miradi mipya..at least yetu inakufa mwanzilishaji akiwa kafa yenu jamaa yupo Ikulu na kitu kimekufa! Aisee mko lazy sana!
Huyu mama ni hatari zaidi kuliko Magufuli...Mungu anatupenda Sana Tanzania...Tuzidi kumuomba na kuchagua viongozi wanao mtanguliza Mungu....Hahaha, mimi sio MATAGA but I like the slogan, however hakuna kilichobadilika, huyu mama Samia ni ruthless kuliko hata JPM, time will tell...
The so called Wapinzani waneshasahau few months ago walikua wanalalamika juu ya Mama Samia kusema kua hata wafanye nini Serikali itaendelea kuwa ni ya CCM.Huyu mama ni hatari zaidi kuliko Magufuli...Mungu anatupenda Sana Tanzania...Tuzidi kumuomba na kuchagua viongozi wanao mtanguliza Mungu....
The so called Wapinzani waneshasahau few months ago walikua wanalalamika juu ya Mama Samia kusema kua hata wafanye nini Serikali itaendelea kuwa ni ya CCM.
Kwa kifupi ni kuwa wana CCM kutoka Zanzibar ni more radical kuliko wanaotoka TZ Bara, hii ni kwa sababu ya uwananamapinduzi wao na upinzani mkali kule Zanzibar kuliko Bara...
Toeni siasa zenu za ujinga hapa. Huku tunajadili miundombinu. Siasa nendeni mkajadili katika jukwaa la siasa. Mnaharibu huu uzi na upuuzi wenu. Wajinga nyie.Huyu mama ni hatari zaidi kuliko Magufuli...Mungu anatupenda Sana Tanzania...Tuzidi kumuomba na kuchagua viongozi wanao mtanguliza Mungu....
actually SGR infrastructure! 🤣Toeni siasa zenu za ujinga hapa. Huku tunajadili miundombinu. Siasa nendeni mkajadili katika jukwaa la siasa. Mnaharibu huu uzi na upuuzi wenu. Wajinga nyie.
Akili ya mafii kama yako bora uachane nayo ufanye vitu vingine tuu [emoji57][emoji57][emoji57]Mataga hamjambo ? Tupoe na msiba.
Sasa lini tunafika Moro na kuanza kazi ?
Hivi Bandarini mtapitia njia gani ?
Sasa SGR chini ya Mama Samia itajengwa kwa kuwashirikisha Watanzania kama wa miliki kwa kuwauzia shares.
Mambo ya kujenga SGR kwa faini za magari hatufiki na kila jengo linapunguzwa ku save.
Mataga mpooo
Hahaha. Mambo ya Nairobi Expressway naona huitaki tena baada ya kupewa kichapo? Umeamua kutoroka badala ya kujibu swaliactually SGR infrastructure! 🤣
Aawapii kwa mwendo wa Madam Suluhu GoT itajibu na ring superhighway kutoka Bagamoyo mpaka Dar port ya 16 interchanges na over 100 km!Hahaha. Mambo ya Nairobi Expressway naona huitaki tena baada ya kupewa kichapo? Umeamua kutoroka badala ya kujibu swali
Hahaha. Uongo mtupu. Mradi huo hautawahi kuzinduliwa. Mark my words.Aawapii kwa mwendo wa Madam Suluhu GoT itajibu na ring superhighway kutoka Bagamoyo mpaka Dar port ya 16 interchanges na over 100 km!
[emoji15]Aawapii kwa mwendo wa Madam Suluhu GoT itajibu na ring superhighway kutoka Bagamoyo mpaka Dar port ya 16 interchanges na over 100 km!
Huna heshima wewe hata kwa watu waliokuanzishia hii Kenyan Sub-forum, shukrani ya punda...Toeni siasa zenu za ujinga hapa. Huku tunajadili miundombinu. Siasa nendeni mkajadili katika jukwaa la siasa. Mnaharibu huu uzi na upuuzi wenu. Wajinga nyie.
umesahau kuna outer ring project ya kuingia bandarini bila kupita Ubungo nathani moja inatoka Chalinze inapitia Pugu mpaka kuingilia daraja la Nyerere Kigamboni! Wakati nyingine itaenda Bagamoyo![emoji15]
safiiumesahau kuna outer ring project ya kuingia bandarini bila kupita Ubungo nathani moja inatoka Chalinze inapitia Pugu mpaka kuingilia daraja la Nyerere Kigamboni! Wakati nyingine itaenda Bagamoyo!
Key Tanzania road project open for tender
Tanzania’s Ministry of Works has opened a key road project to bidding for expressions of interest. The 100km route from capital Dar es Salaam to Chalinze is to be upgraded to a tolled expressway. The upgraded road will feature three lanes in either direction and the project includes the...www.worldhighways.com
kama hiyo na inatokea Chalinze inaenda mpaka Kigamboni inakuja kuingilia bandarini kwa kuvuka daraja! Ni project ya siku nyingi ila fedha hamna baba ila sitashangaa ikifanyika ndani ya miaka 5 ijayo!safii
ingawa naona ni taarifa ya muda kdg, au ndo ile chalinze inatobozea tegeta ipo kwe project hiyo ya outer ring road?
Hii train inaonekana inanyonya umeme megawati nyingi sana.World’s first ELECTRIC DOUBLE STACK CONTAINER TRAIN - Long Haul 1.5 Km long Container Train hauled by electric traction
cc: Geza Ulole
Hii iwajib wale wabishi juu ya Tz double stackHii train inaonekana inanyonya umeme megawati nyingi sana.